- Thread starter
- #41
Nimeshaomba jana kaka,Asante.Omba Tena.This time utapata
Nimeshaomba jana kaka,Asante.Omba Tena.This time utapata
Funguka kidogo kuweka sign? Nahisi kama cjakuelewaswali?
1.ume-certify vyeti vyako?
2.ukituma application unakumbuka kuweka saini yako?
Barua unayoituma huwa ndo unaiwekea SignFunguka kidogo kuweka sign? Nahisi kama cjakuelewa
Nakumbuka ili nipa shida kidogo ili bidi nitype barua alafu Nika print kisha nikadondoka sign baada ya hapa ni scan barua kisha nikaifanyia attachment nahisi nilizunguka sana short cut ya electronic signature ilinishindaBarua unayoituma huwa ndo unaiwekea Sign
Mimi na sign electronic signature na hakuna ambayo siitwi nashukuru hili.Nakumbuka ili nipa shida kidogo ili bidi nitype barua alafu Nika print kisha nikadondoka sign baada ya hapa ni scan barua kisha nikaifanyia attachment nahisi nilizunguka sana short cut ya electronic signature ilinishinda
Tafuta nitro PDF itakusaidia sana sana kwenye sign.. Unaweka sign moja halaf utakua unaitumia hiyo hiyo na inaonekana vyema kabisaNakumbuka ili nipa shida kidogo ili bidi nitype barua alafu Nika print kisha nikadondoka sign baada ya hapa ni scan barua kisha nikaifanyia attachment nahisi nilizunguka sana short cut ya electronic signature ilinishinda
Nakubali mkuukazi zipo hapa Tanzania huko unapoangalia wewe post zinakaa kwa muda na kufutwa
Mwenyewe kipengele cha barua huwa nafanya kukoroga kwa mkono alafu naatach kinachofuata ni kuitwa interview haya ya kutype nayaona Leo......Nakumbuka ili nipa shida kidogo ili bidi nitype barua alafu Nika print kisha nikadondoka sign baada ya hapa ni scan barua kisha nikaifanyia attachment nahisi nilizunguka sana short cut ya electronic signature ilinishinda
Jamaa yupo sahihi sababu upande wa Job description za Utumishi wanamuhitaji mtu anayejua koconfigure na kuinstall LAN and WAN na WAN hamna course inayoingia deep kama Telecom ,sababu ndani ya WAN kuna MPLS,Frame Relay,Metro Ethernet ,VPN nk ambazo telcom wanazichimbua sana.Telecom ana uwezo wa kufanya Engineering na Administration ya network yoyote ile,jamaa yupo sawa na ana haki ya kulalamika .Angalia kwa umakini tangazo la kazi na mahitaji yake mfano uliyesoma Telecoms huwezi kuitwa kwenye Network administrator upande wa Computer lakini unaweza kuitwa kwenye Network administrator upande wa switching.Wakaguzi wa barua kwa ajili ya maombi ya kazi wanaangalia kozi iliyotangazwa na muhitaji anayetakiwa mfano Network Administrator na anahitajika aliyesoma Computer Eng. hapo wamemaliza hata aliyesoma computer science hawaguzi
na vile vile kama hiyo nafasi wamesema anatakiwa Eletronics and Telecommunication inakuwa hivyohivyo
CV yako itatumika mara nyingi wakati wa Interview ndiy wataona na hizo shortcource zako kama hiyo CISCO
Kwa mbali naunga mkono hoja.Unaendelea kumuongezea umasikini tu kwa kuendelea kulipa fees+magharama mengine.
Elimu kwa sasa ni shithole tu kwny kutoboa maisha.
Unajifanya mjuaji sana,ndio maana hata kwenye usaili sekretarieti ya ajira huitwi,punguza kwanza umach kno ndio utaitwa kwenye usaili.Lakini sasa CV tunaituma ya nini,alafu Telcom networking anacover karibia layer zote 7,kama umesoma Telcom au una mtu unayemjua wa telcom utanielewa,hamna course inayoingia deep katika Networking kama Telcom.Sasa nashangaa nakosaje nafasi ya Network Engineering na Network Administrator.
Sio mjuaji kama upo katika field hii utamwelewa yupo sahihi 100% na sifa ya Engineer lazima ujijue upo vizuri eneo gani,huyo kijana anajitambua anataka nini ,tofauti na vijana wengine wa Engineering ukiwaambia unajua nini hawana cha kukujibu.Unajifanya mjuaji sana,ndio maana hata kwenye usaili sekretarieti ya ajira huitwi,punguza kwanza umach kno ndio utaitwa kwenye usaili.
Ndio tatizo lake hahahaTatizo lako ni kujiona bora kuliko wengine.
Jaribu pia kuangalia "soft skills". Vitabu vya Dale Carnegie vinaweza kuhusika.
Pengine uko "overqualified", if you see what I mean.
Kwenye application yako ijayo unaonaje ukaacha kutaja sifa ulizonazo ambazo haziko kwenye tangazo.
All the best.
Kuna kitu kinaitwa "Kimavi" .. nadhani inaweza kuwa sababu ndugu!!