ni sawa unapewa dakika 10 za kutoka, lakini iweje, ukae dakika 50 ulipie masaa mawili? Kama saa yao ingekuwa ipo swa, ungelipia saa moja tu kwa gharama hiyo, huoni ni wizi! Tunalalamika kwa nani atatusikia?!
Habari, waungwana!
Sijui kama kuna mtu humu alishawahi kutoa hili au lah!
Na kama tayari mnisaidie na mimi pia.
Imenitokea mara ya pili sasa, na nimechoka kutokana na gharama kuwa kubwa.
Hapa umwanja wa ndege wa JNIA terminal 2, kunautaratibu wa kulipia parking kiasi cha Tshs. 1000/- kwa...
mwaka mmoja una siku 365/6 huyo dada kaambukiza watu 1500 tangu mwaka 2009 mwezi wa 5, hmmmm....
Hata kama alikuwa analala na watu 3 kama alivyosema kwa siku, hata akiwa kwenye kipindi cha kila mwezi?!
Basi hisabati nilifeli kwenye kujumlisha na kutoa...
Asante...
mkuu, inaniambia connection error check your network configuration and try again.
Hili nimelipata kwenye nokia E series, na samsung pia, nimejaribu kuomba upya configurations katika samsung bado browser ikagoma kufunguka, nilijaribu kuhamisha opera kutoka simu yangu kwenda kwenye hiyo simu...
Habari waungwana.
Ninaomba msaada katika kutatua hili tatizo.
Ninapenda sana kutumia browser ya operamini katika simu zangu zaidi hata ya browser ya simu yenyewe.
Lakini hivi karibuni nikijaribu kutumia operamini inakataa kabisa inachofanya ina-load tu halafu hata haifungui, tatizo hili...
tunahitaji kiongozi kama huyo na huku kwetu......!
Au nimesema bila kufikiri?
Maana, tunabaki kukatishana tamaa, wakati waoga kujitokeza na kufanya harakati kama waliotutangulia....
Ni ubatili mtupu!
Big up mkuu!
Hata wanasayansi wanagundua vitu kupitia vitu vilivyopo!
enzi hizo mwalimu wetu wa Hisabati, alikuwa anatuvalisha vifuniko vya soda shingoni, mpaka utakapo pata 'vema' tano kwenye daftari lako ndio unatoa.
Mzigo wa vifuniko mia, bonge la cheni...
Mpaka nikaweza hisabati.
Dah! Long tyme!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.