Umetisha.............mie style yangu hii mimi mwenyewe ndio hairdresser wangu na napendeza vilevile.....
nikitaka kuweka rangi my babe sosoliso ananiweka basi inapendezaaaa![]()
![]()
Last edited by a moderator:
Umetisha.............mie style yangu hii mimi mwenyewe ndio hairdresser wangu na napendeza vilevile.....
nikitaka kuweka rangi my babe sosoliso ananiweka basi inapendezaaaa![]()
![]()
fyuuuuuuuuuuuuuuuu ama kweli wanaume viumbe dhaifu sana mwanaume jiaminiiii!!!!!!!!!!!!!!
Khaaaaaaaaaaaaaaaa! makubwaaaaaaaaa! umenifanya nisome huku nimetoa macho, Loh! kumbe ndiyo maana wengine tunahesabiwa muda wa kwenda saloon.Asante kwa kunijuza.nyuma ya pazia kuna wanaokwenda salon wakifika tu wanatoka kwenda kwenye mambo yao wakimaliza ndio wanarudi salon mr akimpitia anamkuta pale pale anajua mke alikuwa salon kumbee.............!!!
hutaki sasa?Mmmmh!
Nimevutiwa na maisha yako.hakuna gharama hapo.Mpe hongera shemeji>isije ikawa una njia nyingine ya kufidia gharama hizi, mfano, simu kali, mavazi etc.hutaki sasa?
huo mkwanja wa kufidia unatoka wapi?Nimevutiwa na maisha yako.hakuna gharama hapo.Mpe hongera shemeji>isije ikawa una njia nyingine ya kufidia gharama hizi, mfano, simu kali, mavazi etc.
Nadhani mwandishi wa mada hii ndiye mmbea kuliko hao anaodhani ni wambea, nakwenda salon, sijaona mgeni anayeingia saluni akishare mambo yake na kila mtu hata siku moja, wasichana wa saluni huwa wana stori zao ambazo mara nyingi ziko coded hata huelewi wanaongea nini. halafu ukitaka kujua kwamba mwandishi ni mwongo, hajui hata anachooongea, mtu akishare matatizo yake ni mwongo? si ni kweli? kwanza kama wewe si mmbea, mambo ya akina mama saluni huku wayaleteani? tena anaongea bila hata utafiti wa kina, akina dada saluni wanaongea kwani ndio sehemiu wanayospend muda wao. unaandika kichovu as if wanawake wote saluni tunafuata kufundishwa mambo, uko out of times, watu wana vijiwe vyao, tena anayeweza kumpotosha mkeo ni yule best friend wake , ambaye mume unatoka naye kwa siri na yeye anamfanya confidante wake bila kujua.
Usitufanye sisi wajinga, mjinga ni wewe ambaye bado unaamini story ambazo zimepitwa na wakati kabisa. Acheni kudhalilisha akina mama, kwa kujifanya mnawafahamu sana, kitu ambacho si kweli!
Husninyo.. ni wale toka nchi jirani kwa papaa muyoi toka pande ya mbujimai.. au hawa wa kwetu ambao wengi (kama sio wote) inasemekana ni mishumaa..?
saluni ninayoenda mimi wahudumu wote ni wanaume... ni kazi tu hakuna umbea.
kj humuoni
Nadhani mwandishi wa mada hii ndiye mmbea kuliko hao anaodhani ni wambea, nakwenda salon, sijaona mgeni anayeingia saluni akishare mambo yake na kila mtu hata siku moja, wasichana wa saluni huwa wana stori zao ambazo mara nyingi ziko coded hata huelewi wanaongea nini. halafu ukitaka kujua kwamba mwandishi ni mwongo, hajui hata anachooongea, mtu akishare matatizo yake ni mwongo? si ni kweli? kwanza kama wewe si mmbea, mambo ya akina mama saluni huku wayaleteani? tena anaongea bila hata utafiti wa kina, akina dada saluni wanaongea kwani ndio sehemiu wanayospend muda wao. unaandika kichovu as if wanawake wote saluni tunafuata kufundishwa mambo, uko out of times, watu wana vijiwe vyao, tena anayeweza kumpotosha mkeo ni yule best friend wake , ambaye mume unatoka naye kwa siri na yeye anamfanya confidante wake bila kujua.
Usitufanye sisi wajinga, mjinga ni wewe ambaye bado unaamini story ambazo zimepitwa na wakati kabisa. Acheni kudhalilisha akina mama, kwa kujifanya mnawafahamu sana, kitu ambacho si kweli!
aahh we hujajua kwanini unamng'ang'ania... hapo ni mwendo wa ndumba tuuuu
Jiwe likirushwa halafu ukisikia YALAAAA, jua limepata mtuNadhani mwandishi wa mada hii ndiye mmbea kuliko hao anaodhani ni wambea, nakwenda salon, sijaona mgeni anayeingia saluni akishare mambo yake na kila mtu hata siku moja, wasichana wa saluni huwa wana stori zao ambazo mara nyingi ziko coded hata huelewi wanaongea nini. halafu ukitaka kujua kwamba mwandishi ni mwongo, hajui hata anachooongea, mtu akishare matatizo yake ni mwongo? si ni kweli? kwanza kama wewe si mmbea, mambo ya akina mama saluni huku wayaleteani? tena anaongea bila hata utafiti wa kina, akina dada saluni wanaongea kwani ndio sehemiu wanayospend muda wao. unaandika kichovu as if wanawake wote saluni tunafuata kufundishwa mambo, uko out of times, watu wana vijiwe vyao, tena anayeweza kumpotosha mkeo ni yule best friend wake , ambaye mume unatoka naye kwa siri na yeye anamfanya confidante wake bila kujua.
Usitufanye sisi wajinga, mjinga ni wewe ambaye bado unaamini story ambazo zimepitwa na wakati kabisa. Acheni kudhalilisha akina mama, kwa kujifanya mnawafahamu sana, kitu ambacho si kweli!
aahhh binamu hapo umenena huo ni mfano wa kuigwa, hizi saluni siku hizi kwa asilimia kubwa zimekuwa kama magulio hasa za Sinza... bora wangekuwa wanapiga umbea tu... afadhali lakini ukijua ya nyuma ya pazia lol.... chichemi