Mfalme wa Gheto
Member
- Jul 27, 2012
- 41
- 28
Jamani hv hii nchi inaelekea wapi? Waziri mkuu ktk kikao kilichopita cha bunge akijibu swali kuhusu kuchelewa kwa mishahara alisema tatizo limekwisha. Sasa mnaweza jionea hali halisi kwa kutembelea mbao za matangazo Muhimbili,wamesema pesa itachelewa kwa sababu mpaka sasa bado hawajaletewa toka hazina. Hivi watu tukisema waziri mkuu ni muongo kama Godbless Lema alivyosemaga watasema hatumtendei haki waziri mkuu? dah! Tanzania zaidi ya uijuavyo. source mimi mwenyewe nimeliona tangazo kwa macho yangu.