Kila mmoja atajitambua ni suala la muda tu,hata Hawa ndondocha wa CCM waliojaa huku Jf ni vile posho za buku Tano Tano tu ndiyo zinawachelewesha kujitambua
Jamaa jinga sana wewe,jiulize kwanini chadema hawana balozi hata mmoja kama ulivyosema lakini angalia mapokezi na mapenzi wanayopata huko mitaani,haya nenda wewe na chama chako chenye mabalozi lukuki tuone unavyodhalilika.
Stupid
Wewe ndo yule kijana mzuri mweupe anayeonekana pichani sebleni Kwa wema sepetu akiwa anakula chips mayai huku amezungukwa na mishangazi ya bongo movie?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.