Recent content by X factor

  1. X factor

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

    Lile gari la ajabu liko rada full tank,waambieni Tanzania all stars waandae mashairi awamu hii DOMBIA hapigi off target 🎯
  2. X factor

    JamiiForums Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete ni nani?

    tafadhali DUMBIA kuwa makini usipaishe mpira hapo MZENA
  3. X factor

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Rest in hell mzee
  4. X factor

    JamiiForums Tanzania KERO Polisi Nyegezi wanakamata wateja katika ofisi zetu za Betting

    Kama Oktoba 29 hukutoka kuandamana kupinga uonevu na mifumo kandamizi huna haki ya kulalamika kwenye keyboard,kaa kwa kutulia dawa iingie
  5. X factor

    JamiiForums Tanzania Ni Aidha Katambi ana changamoto ya Afya ya Akili au Obsession au amekosa objective na Mission kwenye Wizara yake

    Nduli Idd Amini Mama,wakuu wa majeshi,Tume ya uchafuzi, mbogamboga wote,Na askari wote walioua ndugu zetu kwenye MO29 wote wana changamoto ya afya ya akili
  6. X factor

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar ni washamba

    Mkuu itakuwa umeingizwa mjini si bure,umetoka zako mkotokwiano huko umeliingia jiji kizembe umepigwa halafu unaamua kuwasema vibaya 😂😂
  7. X factor

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Avunje kwanza hiyo nyumba aliyoijenga kwenye kiwanja cha wakwe zake
  8. X factor

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI ZA KUCHUKUA UNAPOKWENDA KUOGELEA BWAWANI AU BAHARINI

    Muoga wa maji jamaa 😂
  9. X factor

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI ZA KUCHUKUA UNAPOKWENDA KUOGELEA BWAWANI AU BAHARINI

    Mkuu mimi bila kujikwatua siogelei
  10. X factor

    JamiiForums Tanzania TAHADHARI ZA KUCHUKUA UNAPOKWENDA KUOGELEA BWAWANI AU BAHARINI

    Namba 3 hapo sikuungi mkono kabisa kwingine kote umepatia ila #3 ni vice versa
  11. X factor

    JamiiForums Tanzania Kero katika Misa Katoliki (kwa wakatoliki tu)

    Huyo padri itakuwa alikuwa muangalikana kabla hajafika hapo
  12. X factor

    JamiiForums Tanzania Labda alipoteza ndugu zake wengi kwenye mapinduzi ya 1964?

    Huu ndiyo ukweli wenyewe Mkuu, kisasa anacholipa ni cha machozi, jasho na damu
  13. X factor

    JamiiForums Tanzania Wanawake hatupendi wanaume wasio na hela!

    Haya mimi nina hela hapa njo uniuzie
Back
Top Bottom