Natafuta mke wa kumuoa

Natafuta mke wa kumuoa

Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
This is Mambaz 24, haikwepeki, we live our life men, you bera watch your back, you punch me once I punch you tripo, unataka kupiga miti sio
 
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Financial Analyst na Chizi Maarifa hii ndo nafas yenu kutoka hapo kwenye jumba la mzee kikala
 
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Hahah
 
Niko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Kwa umri huo kupata mke mbona easy mzee wangu,hapo Ili mambo yasiwe mengi tafuta singo maza mwenye miaka 38-45 na huko iringa wapo wengi sana
Usitake kujibebesha kitoto Cha 2000 kitakusambaratisha mapema sana kwenye uso wa dunia
 
Back
Top Bottom