maandamano
JF-Expert Member
- Nov 12, 2025
- 686
- 1,491
- Thread starter
- #21
Kwa lipi sasa? Mimi nimezaliwa 27/9/1975aweke certificate of birth hapa lasivyo ni dogo tu
Kwa lipi sasa? Mimi nimezaliwa 27/9/1975aweke certificate of birth hapa lasivyo ni dogo tu
Ndiyo changamoto zenu hizo kufikiria wewe tu ndiye umewahi kupata shida duniani kuliko mtu yeyote.Utafutaji mwema wa mke.Labda hayajakukuta ndiyo maana unaona vitu rahisi
hahahaa kwanini lakini?aweke certificate of birth hapa lasivyo ni dogo tu
Ukitaja umri mkubwa unaonekana dogo kama wewe mke niko siriousaweke certificate of birth hapa lasivyo ni dogo tu
This is Mambaz 24, haikwepeki, we live our life men, you bera watch your back, you punch me once I punch you tripo, unataka kupiga miti sioNiko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Financial Analyst na Chizi Maarifa hii ndo nafas yenu kutoka hapo kwenye jumba la mzee kikalaNiko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Sijakuelewe?ingawa ulishawahi kumuuguza mke wako ambae hataki kukuona?Ndiyo changamoto zenu hizo kufikiria wewe tu ndiye umewahi kupata shida duniani kuliko mtu yeyote.Utafutaji mwema wa mke.
Huwezi kuelewa kwa sababu hautaki kuelewa.Nakutakia utafutaji mwema wa mke mwingine.Sijakuelewe?ingawa ulishawahi kumuuguza mke wako ambae hataki kukuona?
Alikuwa Ulaya Kiswahili kinampiga chenga kuandikaMzee wa miaka 50 unaandikaje UMELUDI!!?
🤣🤣yaan majibu yako yanachekesha kweli🙌🏾Umeshawahi kumuuguza mtu mwenye changamoto ya akili?
Ulaya au south Africa? 🤓Alikuwa Ulaya Kiswahili kinampiga chenga kuandika
South Africa au Burundi?Ulaya au south Africa? 🤓
I meant kafurushwa huko SA?South Africa au Burundi?
HahahNiko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Kwa umri huo kupata mke mbona easy mzee wangu,hapo Ili mambo yasiwe mengi tafuta singo maza mwenye miaka 38-45 na huko iringa wapo wengi sanaNiko Iringa natafuta mke wa kuowa miaka yangu ni 50,nilikuwa nina mke lakini kapata matatizo ya changamoto za akili imebidi nimludishe kwa wazazi wake,mda mwingi nimeishi inje ya inchi toka mwaka 1997 sasa nimeludi Tanzania nimepoteza koneksheni zote maana yake sina marafiki
Mhuni aliyezeeka mpuuzi mmojaUmewabwagia mzigo wakwe zako, siyo?Kwa nini usiendelee kumtunza na kumsitiri mwenzi wako?
Ana mke na watoto…hao anazungumzia ni michepuko mpenzi…huyu kijana ni hasara tupu yaan 😖Pole kaka, utapata tu...
Mungu akusaidie...