Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 5,734
- 4,280
Maana nimekuwa na kawaida ya kuvamia tu bila Maandalizi yoyote. Isitoshe asubuhi miwili kwa ujumla, hususani kinywa, unakuwa umechacha (umeusu (kama wanavyopenda kutumia neno hili kule kilwa)) hivyo naogopa Maandalizi yasije yakapelekea kuongea Bure mwishowe stimu ikakata.
Wajuzi, wabobezi, prove me wrong.
Wajuzi, wabobezi, prove me wrong.