Recent content by wooden flag

  1. wooden flag

    Wako wapi wale wanawake...

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  2. wooden flag

    Kuna bus linalotoka Tanzania hadi Ghana?

    Ni zaidi ya hizo, flight distance ya Ethiopia to Nigeria ni 4000 Chini ni zaidi ya km 15000
  3. wooden flag

    Wale tunaoanza Ujenzi 2022, Tupeane Start up Dondoo

    Mwaka huu nami nitajenga nyumba, isiyopungua 250m Kila kitunkitawekwa hapa. Stay tuned
  4. wooden flag

    Tumepigwa; Hii temporary camp ni sawa kugharimu Tsh milioni 7?

    Watu hawajui tu, engineering projects sio ungwini. Watu wakisikia gharama ya kitu wanawaka utadhani hawajaenda shule. Ingekuwa mchina hapo wangeandika 100m na wasingehoji, mchina angejenga kama Darasa, baadae anawaachia wanakijiji inakuwa ofisi ya kijiji. Guys temporary office ina mambo mengi...
  5. wooden flag

    Nina maumivu mkali sana kwenye korodani

    Nilishawahi pata tatizo kama hilo, mimi ilikuwa korodani moja, maumivu yake usipime. Nilimwelezea muuguzi mmoja akasema ni UTI iliokomaa, Akanipa dawa nikapona, nimezisahau ningekuandikia Jina la dawa
  6. wooden flag

    Nimeamua rasmi ni-"date" na mume wa mtu, hakuna namna

    Yaani act unampenda sana mtoto wake, mshauri shule nzuri Sana ya kumpeleka mtoto wake, (hakikisha unafanya hivi katikati ya term akiwa tayari ameshalipa ada) Mletee mtoto zawadi hata kama ni ya elfu 5 tu Utakuja kunishukuru
  7. wooden flag

    Nani wa kulaumiwa: BeFoward au kampuni iliyouza gari?

    Be forward, wakiamua kukufatilia utafungwa, maana jukumu la ukaguzi wa na ununuzi wa gari (kama ulivyosema) halikuwa jukumu lao
  8. wooden flag

    Mke wangu ananisimulia akitongozwa

    Na wewe unaamini kabisa kuwa anatongozwa tu. Hapo anakuandaa kisaikolojia, ukija kumfuma na mtu anakwambia huyu ni yule nilikwambia ananisumbua, bado sijamkubalia. Kwa uzoefu ulousema wa miaka 10,hukutakiwa kuleta uzi huu. Haya ni mambo ya wanafunzi Tena form 1
  9. wooden flag

    Ukimkosea Mwanamke usimwombe msamaha, piga kimya. Ukiomba msamaha ndio umeanzisha vita

    Nimeambulia vitu vitatu tu. 1. Sukuma gang 2. Msoga gang 3. UROJO UNIT [emoji23][emoji23]
  10. wooden flag

    Marufuku ndugu yeyote kutoka Machame kukanyaga kwangu!

    Brother wewe umeoa mtu, sio kabila. Na umegombana na mkeo sio wamachame. Infact wewe ndio una bahati kuoa machame. Kweli Dunia haiko fair. Imagine mtu kutoka masasi, mla panya eti anapiga mkwara wamachame kwenda kwake... apaaa mbaka
  11. wooden flag

    Sheria zinasemaje kuhusu Polisi kuvamia ubalozi na kukamata mtu bila ruhusa ya balozi husika?

    Ndio maana wamemwachia haraka, maana wanajua kinachofuata
  12. wooden flag

    GE2020 Mpangilio wa Majina ya vyama kwenye Karatasi ya kupigia kura ulizingatia nini?

    CHADEMA waambieni wapiga kura wawe makini. Haya majangili wametoa huo kama mfano, kuna watu wataondoka nayo akilini wakijua CHADEMA ni ya mwisho, kwenye karayasi halisi ikawekwa katikati
  13. wooden flag

    GE2020 Sitaki kuwa mnafiki. WanaCCM awamu hii tunaburuzwa na Mwenyekiti

    Amechukua form peke yake. Wengine wakafungiwa milango. Wakati wa kumpitisha, katibu mkuu bila aibu anasema katiba inataka wagombea watatu, ila aliyechukua form ni mmoja tu. What a joke!
  14. wooden flag

    Taasisi na Makampuni yenye majina makubwa ila malipo kiduchu, mnatugombanisha waajiriwa wenu na ndugu zetu

    CV tu million 3, una kichaa wewe. Issue sio waajiri, ni serikali, ina kodi nyingi Sana, ukiwa na Kampuni usipokuwa mjanja, nusu ya malato yako utaipelekea serikali.
Back
Top Bottom