scatter boy
Member
- Mar 31, 2021
- 68
- 22
Habari za sasa hivi,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nani mkazi wa mwanza ila kwa sasa niko Tanga kwenye masomo ..
Nina maumivu mkali sana kwenye korodani zangu, kiasi kwamba hata mda mwingine kutembea inakua ngumu ..
Nimesha kwenda hospitali ya mkoa hapa Tanga wakanipima ultra sound lakini nikaonekana sina hernia wala hydrocell na wala sijawahi kufanya tendo la ndo.
Nina uhakika kuwa sina magonjwa ya zinaa.
Hapa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Msaada please
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 22 nani mkazi wa mwanza ila kwa sasa niko Tanga kwenye masomo ..
Nina maumivu mkali sana kwenye korodani zangu, kiasi kwamba hata mda mwingine kutembea inakua ngumu ..
Nimesha kwenda hospitali ya mkoa hapa Tanga wakanipima ultra sound lakini nikaonekana sina hernia wala hydrocell na wala sijawahi kufanya tendo la ndo.
Nina uhakika kuwa sina magonjwa ya zinaa.
Hapa tatizo linaweza kuwa ni nini?
Msaada please