Raha sana kuwa na umri huo na kuolewa, hakika kuwahi kuolewa sio ndio kila kitu kuna fiesta nyingine unazikosa kabisa ukiwa ngunguri hadi miaka hii utakutana na kipi cha ajabu kikutishe??....
Kweli kuna type za michepuko mingine mhh! michungu hata Chloroquine inautamu, binafsi nilipitia huko nimepunguza sana natafuta wa kubaki na mmoja wa kumsugua mgongoni....
Kazi za ofisini hizo ni kazi za kipozeo tuu maana kukaa naye ndio dem wako ukipata chambichambi kidogo naye ananasa mgawane.We kula ukishindwa tuachie sisi tuje kuomba uraia wa kudumu ila kumbuka fimbo ya mbali haiui nyoka.
hapo sioni shida maana alikuwa anatii kiu yake iweze kuendana na hali mubashara maana siku hizi wanaume waoaji wako wapi na iringe uringe ya nini we ruksa tuu...
Kaka heri hiyo kupenda malaika za bwana hadi unatunukiwa neema.Endelea kutenda jema hakika hautajutia maamuzi yako ila tuu ukichukua pipi ya dogo jua kuwa na mama anataka pipi nae,mpee...
Ndoa ni kuridhishana hata kama una kibamia,ikitokea mzee anataka kuongeza mke mwingine basi wewe jua ya kua kuna kapoint hajaridhika nako na wewe ndio maana anaongeza mtaa wa pili basi na wewe mke RUKSA nawe kutafuta alipopungukiwa mumeo hapo mtukuwa sawa ndoa ili ile na kila mmoja anaridhika...
kaka mwendo mdundo tuu huo kule tanga ehhee ehee wako teleh shombeshombes na vile wanakula laini basi utakoma nafsi yako.we kanyage usonge mbele maana ulimwengu wa sasa kupata chaguo 100% ni vigumu kulipata kabisa...
kanyaga twenda kama jamaa alimtoa bikra ya mbele na yeye amtoe bikra ya nyuma mambo yasawie maridadi kabisa sasa wivu wa nini na maana wakato huo na yeye mume alikuwa na mazagazaga yake teleeh....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.