Bahati zao au kwa sababu ana hela.........unadhani kama angelikuwa hana ya kuleta zawadi kila siku angepewa??Daha, watu na bahati zao asee. Jamaa katunukiwa kilaiiiiiiiiinii...
Hahaaa ndipo hapo atakapotegeshewa mwisho wa siku aambiwe mimba yako.Bahati zao au kwa sababu ana hela.........unadhani kama angelikuwa hana ya kuleta zawadi kila siku angepewa??
Hiyo sio kitonga babu mtoto anahudumia kuliko hata babaHongera mkuu mimi huwa napenda kitonga natamani ningekuwa mm
Hahahaha! Asante kwa kuniongezea siku za kuishiHuyo aliona "Yes"!!...wacha niongeze janaume lingine maana linampenda kweli mtoto wa mwenzie, wacha wasaidiane matumizi. Anyway, point yangu ni kwamba mkuu hapo wewe ndio unaliwa, na utajikuta unasomesha huyo mtoto...akimaliza masomo mshahara wa kwanza atapeleka kwa baba yake mzazi kwa kumshukuru kumleta duniani. Full stop
Okay hivyo mimi siweziHiyo sio kitonga babu mtoto anahudumia kuliko hata baba
I really love children also but I hate childish habit.[/QUOTE
Aaaa
Mm sifikiri kwamba amepewa papuchi kirahisi hivyo unavyofikiria wewe, huwa naona hadi mdada akwambie anakupenda, naamini Ni process Na sio kitu cha siku moja. Hawa watakuwa Ni watu waliozoeana Na wanafahamiana vizuri ndio mwana hiyo bi Mdogo alipata guts za kumweleza jamaa. Any way waendelee kuchunguzana km Kuna bright future kwa wote wawili.Mbona kakupa kirahisi hivyo duuuh
Watu papuchi zao wanaziona km mkono tu...muda wowote unampa mtu aushike..
Sijui lengo lke ni nini..huenda akawa ze next wife material...au nae anakudangia tu...
Endelea kumsoma mwema oa...si kila single maza ni kicheche inatokeaga tu bht mbaya akazalishwa
Yeah si anahela!!?? Acha kabisa JPM katunyoosha balaaa........Hahaaa ndipo hapo atakapotegeshewa mwisho wa siku aambiwe mimba yako.
Daaah usipende vya bureHongera mkuu mimi huwa napenda kitonga natamani ningekuwa mm
Mwambie tupo tunaopenda Vibonge Kwa sababu huwa na joto la kutotolesha yai la kukusizitaki mbichi hizi
Ahaaaaa kumbe ndo mnavyikuwaga, tuwaite matapeliHuyo aliona "Yes"!!...wacha niongeze janaume lingine maana linampenda kweli mtoto wa mwenzie, wacha wasaidiane matumizi. Anyway, point yangu ni kwamba mkuu hapo wewe ndio unaliwa, na utajikuta unasomesha huyo mtoto...akimaliza masomo mshahara wa kwanza atapeleka kwa baba yake mzazi kwa kumshukuru kumleta duniani. Full stop
Mkuu angalia tu huyo mtoto asije kukuumbua na huyo mother kwa mumewe. Itakucost maana mke wa mtu inauma aisee hata kama mwenye mke hampendi timbwili lake unaweza hama nchiHabarini ndugu zangu.
Kuchepuka siyo kitu kizuri, kwanza ni dhambi kubwa sana.Vitabu vitakatifu vinasema.
Mm yalinikuta hivi:
Dada mmoja mwalimu alitokea kunipenda sana. Na ninafikiri sababu mojawapo n kwasababu mm nilimpenda sana mtoto wake.Kila ninapotoka kazini kurudi home, nakatupia pipi, chips snacks, bigiji, nk. Sasa kakatokea kunipenda sana sana.Kakiona tu gari kanatega njiani. Kuna siku niliwahi kukabeba na kwenda nako misele kidogo.
Basi mama ake (huyo mwalimu) akawa kumbe ananipenda sana,bila mm kujua.Siku moja akanisimamisha na kuniambia :
" Unavyompenda mtoto wangu,hata babake hafikii. Natamani kama ingetokea ukawa baba ake. Lakini ndo hivyo tena".
Mm nilichukulia poa tu, nikendelea na utaratibu wangu uleule wa kumpenda mtoto wake.
Siku nyingine tena akaniambia:
" Tafuta muda twende nikakununulie beer, nimejisikia tu kunywa na wewe". Nikamwambia ningemjibu.
Baada ya kama wiki hivi, tukatoka paleplae mtaani kupata kilaji.Katikati ya unywaji, akaniambia:
"nakupenda sana, naomba leo nikupe raha, please".Nikwambia raha gani?Akasema "tamu...".
Basi bhana,siku hiyohiyo nikajicommit tukafanya mapenzi kiroho safi..
Dah.