I thought this thread could have been taken positively, but what i notice is different! Matusi ya nini sasa? If our colleagues in Kenya are advanced in certain projects, we need to appreciate that, same applied to them. We are far advanced in some projects than Kenyans. It is not possible to...
Nadhani hujawahi kutoka nje ya Ubungo ndo maana unaona kwamba hayo maendeleo ya mabasi unayoyaona ni makubwa kupita uwezo wako na yanakutosha. Uwezo wa mtu kufikiri unaenda sambamba na elimu na kitu kinachoitwa exposure. To what extent have you been exposed outside Tanzania? That gives you the...
Mbona yeye wangetaka wangemfumania mara kwa mara? Michoro yake yote inafahamika pia. Ni machachari kwa wake za watu sasa mke wake analipiza kisasi.:msela:
Mi nafikiri iwapo Gwajima anaona hakufanya kosa, aende kijisalimisha mwenyewe. Hiyo ndio njia sahihi kwa kiongozi wa nafasi yake. Lakini kuanza kutoa maelezo hapa hayana msingi wowote. Akatoe hizo hadithi kwa Kova.
Wengi wameandika hapa ila wanagusia tu kujaribu kupata chimbuko la kuandika habari zenye taarifa hafifu. Ni hivi, wakati wa Chuo kile cha Tanzania School of Journalism, waandishi walikua wanasoma taaluma hiyo kwa nadharia na vitendo. Wakufunzi pia walikua waajiliwa wa taasis mbalimbali kama...
Kuna vitu lazima mtu mwenye akili timamu afikirie kabla ya kuanza kubishana hapa. Mtu huwezi kumiliki kituo cha Kulelea Watoto (wawe yatima au wanaozulula) bila kupata usajili kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto. Moja kati ya mambo ambayo yanaangaliwa ni kuwasaidia watoto hao...
Karibu wiki nzima hii, nimekuwa namsindikiza mtoto wangu Shule ya Libermann iliyoko Mbezi Beach. Nitaandika kwa kifupi maana nawahi Mkutano. Nimeshuhudia watoto wanaodaiwa ada kuzuiwa nje ya gate, huku wenye gate pass wakipita tu. Nadhani Libermann wangekua wanatoa barua kwa wazazi kuliko kuzuia...
Ndo maana makanisa mengine wanatembezana kichapo wenyewe kwa wenyewe na heshima inarudi. Waulize Lutheran (Segerea) na Moravian (Kinondoni, Tabata) watawapa mbinu.
Mi sipingani na wale wanaomkubali Dr. Bana kwasababu katika elimu alyways kunakuwepo na two schools of thought. Mbali na hizo "schools of thought, kuna world view ambayo ni exposure...to what extent has someone been exposed to understand an issue?
Kwa mtu yeyote ambae ni Msomi, au ambae amewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.