Wiyelelee
JF-Expert Member
- Nov 9, 2012
- 1,071
- 347
Karibu wiki nzima hii, nimekuwa namsindikiza mtoto wangu Shule ya Libermann iliyoko Mbezi Beach. Nitaandika kwa kifupi maana nawahi Mkutano. Nimeshuhudia watoto wanaodaiwa ada kuzuiwa nje ya gate, huku wenye gate pass wakipita tu. Nadhani Libermann wangekua wanatoa barua kwa wazazi kuliko kuzuia watoto wanapofika shule maana inawatesa watoto kiakili (Psychological torture). Sioni sababu ya kuwaruhusu wanafunzi kutumia usafiri wa shule halafu wakifika eti unawazuia getini na kubaki nje hadi wenzao wanatoka ndo warudi nyumbani.
Ni muhimu sisi wenye watoto Libermann tuje kulijadili hili kwenye kikao cha wazazi na Uongozi wa Shule
Short but clear for now.
Ni muhimu sisi wenye watoto Libermann tuje kulijadili hili kwenye kikao cha wazazi na Uongozi wa Shule
Short but clear for now.