Mi mwenyewe nimepata kazi kwa data base, nilifanya interview muda mrefu tu ya taasisi moja ila sikupata, nikaja kuitwa kazini(placement) kwingine baadae sana sina hili wala lile.
infact eneo liliuzwa kinyemela tu, hata hivyo wazee wenye akili timamu walienda kumuoba kwa kutambua makosa alofanya ndugu yao ili wapate kufukua, ila ana haki ya kukataa au kukubali isipokuwa wao wanaona kama yule bwana ni kiburi sababu alishiriki kuzika mazishi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.