Recent content by Witiri

  1. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mi mwenyewe nimepata kazi kwa data base, nilifanya interview muda mrefu tu ya taasisi moja ila sikupata, nikaja kuitwa kazini(placement) kwingine baadae sana sina hili wala lile.
  2. W

    JamiiForums Tanzania Je, ikitokea tukaachana na mwanamke mali tutagawana hali tuliwa hatukufunga ndoa?

    Mali mnagawana ndio ila kulingana na mchango wa kila mtu, matunzo ya watoto pia yatazingatiwa. Hapo mtakosa divorce tu
  3. W

    JamiiForums Tanzania Je, ikitokea tukaachana na mwanamke mali tutagawana hali tuliwa hatukufunga ndoa?

    Dhana ya ndoa kwa mujibu wa sheria ya ndoa Cap 29 R.E. 2023 kifungu 160 kinasema ni miaka miwili mfululizo mkiwa mnapika na kupakua
  4. W

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Data base ni really
  5. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wadada msitulazimishe tuwaoe

    Ahahahaha
  6. W

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka niachane na huyu Mwanamke bila kuathiri Watoto

    Sasa unabisha ulikuwepoo?😂😂
  7. W

    JamiiForums Tanzania Kumbe TFS napo patamu

    No 2
  8. W

    JamiiForums Tanzania Wale uliodhani ni watumishi wa TISS sio watumishi wa TISS

    Tupe kifungu cha sheria
  9. W

    JamiiForums Tanzania Jirani anaweza kukufanya uchukie nyumba yako

    😀😀😀 😀😃😄
  10. W

    JamiiForums Tanzania Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni

    shukrani sana mkuu
  11. W

    JamiiForums Tanzania Mtu amejenga tulipomzika babu yetu. Tufanye nini kupata mwili wa baba yetu tukauzike pengine?

    hiyo nyumba ni imeisha na watu wanaishi mbona yan maana yake kuna sakafu yenye tairizi
  12. W

    JamiiForums Tanzania Mtu amejenga tulipomzika babu yetu. Tufanye nini kupata mwili wa baba yetu tukauzike pengine?

    baada ya kuuzwa huyo muuzji alikuwa ana kaa kwake ambapo ni mbali na pale hivyo hata ujenzi wakti unaendlea hakuwepo na hakujali
  13. W

    JamiiForums Tanzania Mtu amejenga tulipomzika babu yetu. Tufanye nini kupata mwili wa baba yetu tukauzike pengine?

    infact eneo liliuzwa kinyemela tu, hata hivyo wazee wenye akili timamu walienda kumuoba kwa kutambua makosa alofanya ndugu yao ili wapate kufukua, ila ana haki ya kukataa au kukubali isipokuwa wao wanaona kama yule bwana ni kiburi sababu alishiriki kuzika mazishi
Back
Top Bottom