Pepe Madochi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 341
- 364
Kumeanza kuchangamka sasa
AhahahahamZee umenikumbusha,mim niliwah kukamatwa na binti wa hvyo yaan yeye kala bata toka kamaliza std 7 kaliwa sana na wenye mikwanja zao katembea sana kwenye mihotel trip mbali mbali kipindi alivyoacha shule form 2
Mim nikakutana nae ana mtoto wa miaka 3,nikala mzigo baadae tukapotezana
Ile nimeanza na mim kuinjoy life kanitafuta ila nikamwambia sina mpango wa kuoa sasa,kanidanganya anakuja kucheck raman za biashara,bas nikamruhusu aje,kumbe mwenzang katega akajua ntanasa tu na kwel nilinasa
Mtoto anakuja kanawili hatar tako kama lote,bas tukaish,kwa akili yang nikajua huyu mjanja hawez kosa njiti,kumbe muda huo hana njiti na ndo maana kapendeza,mwez wa pili tu mimba
Alafu sasa akawa kama mwalimu mkuu sheria kama zote,wivu wa hatar karibu hata wa kuua,yaan raha zangu zote zikaisha kijana mwenzenu,nikaishi kama nipo gerezan
Akimchana hapa unaumia? Amemchana live then kaja kutupa somo huku pia.Sasa mkuu si ungemsanua huko.huko
Ni vyema kuwekana wazi tangu mwanzo, lakini mwanamke kama gatekeeper wa fertility na ndie atakakutana na consequences za unplanned pregnancy ndie anaetakiwa kuwa makini zaidi. Muda salama kwa mwanamke kuwa na uhuru wa kufanya maamuzi ya kushika mimba ni pale ambapo mwanaume anaefanya nae tendo amemuoa rasmiKwamba mimba ni kama kujikwaa na kuteleza ? Hakuna deed yoyote inayofanyika hapo katikati ?
Inabidi au madada unao - associate nao uweke mambo wazi kabla hamjafika mbali uzembe wenu usiwe tatizo la third party (kiumbe ambacho kitakuwa hakina makosa ya kuletwa na watu ambao ni ndivyo sivyo)
Moja ya mambo ambayo hayaingii kabisa akilini mwangu ni kuwa baba wa kambo.mZee umenikumbusha,mim niliwah kukamatwa na binti wa hvyo yaan yeye kala bata toka kamaliza std 7 kaliwa sana na wenye mikwanja zao katembea sana kwenye mihotel trip mbali mbali kipindi alivyoacha shule form 2
Mim nikakutana nae ana mtoto wa miaka 3,nikala mzigo baadae tukapotezana
Ile nimeanza na mim kuinjoy life kanitafuta ila nikamwambia sina mpango wa kuoa sasa,kanidanganya anakuja kucheck raman za biashara,bas nikamruhusu aje,kumbe mwenzang katega akajua ntanasa tu na kwel nilinasa
Mtoto anakuja kanawili hatar tako kama lote,bas tukaish,kwa akili yang nikajua huyu mjanja hawez kosa njiti,kumbe muda huo hana njiti na ndo maana kapendeza,mwez wa pili tu mimba
Alafu sasa akawa kama mwalimu mkuu sheria kama zote,wivu wa hatar karibu hata wa kuua,yaan raha zangu zote zikaisha kijana mwenzenu,nikaishi kama nipo gerezan
iNaweza tokea mtu umekutana nae bila kutarajia na ukamwelewa balaa,ukajikuta umekuwa stepfatherMoja ya mambo ambayo hayaingii kabisa akilini mwangu ni kuwa baba wa kambo.