Kumbe TFS napo patamu

Kumbe TFS napo patamu

Kuna mwajiriwa ana two options
1. Kwenda kufanya kazi ngazi ya Halmashauri ya Wilaya kitengo cha manunuzi
2. Kwenda kufanya kazi wizarani katika kitengo hicho hicho cha manunuzi.
Kwa uzoefu wako ungemshauri achague kwenda wapi kwenye manufaa zaidi ?
No 2
 
Nimepat TARI nishapeleka barua HEADQUARTERS
Nasubr kupangiwa kituo cjajua wanalipaje degree
Hapo subiri tu appointment letter na mkataba wa kazi utajua mbivu na mbichi. Humu hakuna atakayekwambia ukweli.
 
EWURA inasikika sana ila hiyo miamba mitano juu huwa haitajwi tajwi kivile.

1. EWURA
2. PURA
3. eGA
4. TCAA
5. TANROADS
6. MSD

Hawa atleast huwa wanatajwa tajwa. Ila refer ile list ya kwanza. Wote wapo njema

sio kweli PURA hamna mshahara kiivyo, ila tu kama kada yako ni ya site ndio utasafiri sana, mshahara wa kawaida..pia hapo MSD ndio kabisa mshahara wa kawaida mno.
 
Tatizo watu wamekariri majina ya taasisi. TRA malaki ya watu walijitokeza kufanya usaili ila huwezi kusikia watu wakipanga foleni kuomba ajira ya hizi taasisi.
1. UCSAF
2.WCF
3.TASAC
4.LATRA
5.GBT

Najua hizo taasisi hazina majina makubwa kwenye masikio ya watu ila trust me wana maisha mazuri kuliko hao TRA, TPA, au BOT.
Wakizitangaza lazima waombe tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom