9.inaonyesha kabisa huna pesa! Sasa utawezaje kua na mtoto mzuri mwenye sifa zote hizo halafu huwezi kumpatia kila anachotaka? baadhi ya wanaume hua hamchoki kunishangaza... Ukitaka beautiful woman in and out uwe na uwezo wa kumpa kila anachotaka, akitaka kwenda Dubai kuspend usiku mmoja...
Kwani hizo mishe mishe zinazokukeep busy for nothing huwezi kwenda kuzifanya huko aliko baby mama wako? Haki I can feel the pain your woman is going through.. Mtu yupo mkoa mwingine anakuacha unalea mtoto peke yako then hana msaada wowote kwako... Wanawake tuna kazi sana haki ya nani! Ndio...
Niliwahi kupata, na tulidumu kwenye uhusiano kwa miaka miwili, he is a good guy but at the end of the day tulishindwana kwenye baadhi ya mambo kama ambavyo tu inaweza kutokea kwa mtu uliyekutana nae hata kanisani or anywhere else. Kikubwa unapaswa kua makini kwenye kuchagua maana humu JF kuna...
Hua napata tabu sana kuwaelewa wanaume wa aina hii, 38 years na bado ana ruka ruka tu kama mtoto wa mbuzi, badala ya kuwaza kufunga ndoa na kujenga family yeye ndo kwanza ana donoa huku na huko na kuforce kupata mtoto nje ya ndoa, hivi hua ni ugonjwa au ni nini?na hapo unakuta kapata binti...
Unasema hujampendea pesa na hapo unajisifia maisha yamebadilika kutokana na huyo bibi hadi ndugu zako wanakuonea gere, unabadilisha magari ya kwake,unaishi kwenye nyumba nzuri ya kwake na unafurahia kabisa then hapo hapo unatuambia hujampendea pesa, unajichanganya tu
Sawa hatulalamiki tena ila na nyie mjifunze kutugharamia(mtupe hela ya kutosha), mtugegede vizuri, mtujali na mtupe attention baasi maisha raha mustarehe
Hizo kauli hutumiwa na wanawake wa kiswazi sana, yani wale ambao hata shule walikimbia umande,wao hawajishughulishi na chochote in short wapo wapo tu, sasa wewe mpaka uanze mahusiano na watu kama hao wastarabu unakua huwaoni??
Wewe ni mbinafsi, huyo unaemuita mchumba wako ni mjamzito na wafahamu kabisa jinsi mimba zinavyokuaga na complications mfn.kuchukia baadhi ya vitu mfn harufu ya viungo vya chakula,perfumes etc.kakwambia hawezi kupika cause hajisikii vizuri mbioo ushakimbilia Jf kuanzisha uzi, siku akikwambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.