Baada ya vikwazo vingi tunafunga ndoa mwaka mpya

Baada ya vikwazo vingi tunafunga ndoa mwaka mpya

mimi sina kikwazo na kuolewa kwako, japo nikinyume cha maadili kuwa na mahusiano na mama yako....
 
Hiii Ina nikumbusha ndoa mheshimiwa mbunge wa vitii maalum mkoa wa pwani mwenyeji wa Bagamoyo na kijana wa chuo
 
Unasema hujampendea pesa na hapo unajisifia maisha yamebadilika kutokana na huyo bibi hadi ndugu zako wanakuonea gere, unabadilisha magari ya kwake,unaishi kwenye nyumba nzuri ya kwake na unafurahia kabisa then hapo hapo unatuambia hujampendea pesa, unajichanganya tu
 
Mume miaka 34 mke miaka 51.

nawaza kimya kimya baada ya magufuli kumaliza awamu mbili akija makamba kwa awamu moja. Miaka 15 from now.
Wewe utakuwa na 49. nayeye atakuwa na miaka 66.

Kila la kheri mkuu, but wenzako hawaowagi sugar mummy. Wanakula na nakuacha mkuu
Punguza uwivu sumbai...
 
Baada ya muda utakuja na malalamiko kibao ukisema kuwa sasa yamekukuta yale ambayo ulipaswa kuwasikiliza. We endelea kubadilisha magari na ujengewe nyumba na huyo bibi. Na huyo bibi umri wa kuzaa haupo najua unapepesa macho hizo mali alizochuma bibi huyo.
 
Back
Top Bottom