Serikali ichukue hatua, hata stand ilipohamishwa kutoka Kisutu kwenda Ubungo raia wa katikati ya mji waliiaminisha serikali hilo haiwezekani.
Kwa hiyo, LATRA isimamie na kushurutisha Mabasi yote yaende Mbezi.
Piga marufuku Shekilango, riverside au sehemu yeyote ile bus la mkoani kupakia...
Hapo kwa Makamba hajakatwa, zile nafasi za Rais ipo moja inamsubir. Lakini pia, atakua huru kuzunguka nchi nzima uchaguzi huu bila pressure za jimboni.
Nimeona comments nyingi za watu wenye stress, wanataka uhalisia kwenye social media.. Nenda riverside na uwanja wa fisi kapige chabo.
Endelea kutuburudisha Binti wa zamani
Haya sio malezi, ni uchawi.
Hua siku zote naamini mzazi anayetegemea ajira ni mbinafsi ambae hataki kujali kizazi chake kitaishi vipi.
Wekezeni kwenye ma kampuni na biashara ili watoto uwafukuze kwenda ulaya na uchina kujifunza fursa sio kuingia mtaani kujumuika na mateja!
Unawezaje kumuamini mtu ambaye hawezi kutofautisha R na L kwenye serious conversation kama hiyo? Kwa namna yeyote ile, nilishafutilia mbali kutuma pesa kwa mtu yeyeto bila kupata ninachotaka. Iwe huduma au biashara, sheria yangu ní hiyo, fikisha mzigo au huduma nikulipe hutaki basi.
Ukizungumzia depreciation angalia na thamani ya pesa unayozungumzia. TZS inashuka kwa kasi, ukiweka depreciation muuzaji anakua amepata hasara Mara mbili. USD 5000 za 2018 kwa TZS sio sawa na USD 5000 za 2023.
Lakini pia, ithaminishe hyo Gari kwa USD kutoka mwaka alionunua, utagundua Kuna...
Kwa jinsi miaka inavyokwenda, Kuna siku dunia nzima itamuelewa Hitler. Kwa bahat mbaya sana hakua muislamu, hivyo akaitwa Dikteta.. kwa maana ili uwe gaidi sharti kwanza uwe muislamu.
Hii post haihusiani na udini, kasome historia ya Hitler.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.