Recent content by Willy Johnson

  1. W

    TAMISEMI watatoa lini majina ya walioomba uhamisho wa vituo?

    Loading.......!Subiri mpaka apatikane waziri mpya ili aje na utaratibu mpya wa uamisho coz ataanza upya na style take. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. W

    Mitandao na vyombo vya habari vya nje vinaandika 'mpinzani mkubwa wa Magufuli apigwa risasi'

    Lakini hivi vitendo vya watu kutekwa na kupigwa risasi huu utamaduni sijui umekujaje kwenye nchi yetu, haya mambo tulikuwa tunayasikia nchi nyingine, na ubaya wake wanaofanya hivi eti hawajulikani sasa hii itakuwa inajengea hofu hata raia pia tutakuwa tunashindwa kuaminiana hata baina ya wenyewe...
  3. W

    Nini kinafanya wimbo kuwa no 1 trending

    Hapo jumlisha hizo za mwanzo na za pili jumla yake atakae mzidi mwenzie ni bingwa lakini kwa swala la kuachia nyimbo nadhani waliangalia nani kapata views wengi muda mchache mara baada ya kuachia nyimbo ndio maana Ally Kiba wakamweka juu coz alikuwa ana views wengi lakini hii haimaanishi wewe...
  4. W

    Msaada: Girlfriend wangu ka disco chuo

    Wewe umefanya makusudi ili mtoto wa watu afail ili akufanyie biashara zako na ili umtawale kwasababu kama unajua wewe ni chanzo na unampenda kweli usingemfanyia hivi cha msingi mtafutie ada ya kumsomesha aanze upya chuo kingine Sent using Jamii Forums mobile app
  5. W

    DC Mwanga amweka DAS mahabusu na DC Chemba amcharaza viboko mzazi wa mtoto aliyevunja gari lake

    Sasa anamcharaza viboko mzazi wakati hajui chochote pia badala aangalie wanafanyaje kurudisha kioo na nisababu ipi iliyopelekea watoto kuvunja kioo anikimbilia kucharaza viboko stress huwa hazimwachi mtu salama. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. W

    Naombeni ushauri boyfriend wangu ana manyoya mengi

    Sio kumpiga wembe kwani kuku unavyomnyonyoa unampiga wembe unamchemshia maji halafu unamloweka kisha ananyonyolewa maanake huyu boyfriend anamanyoya kawa ndege kama kuku Sent using Jamii Forums mobile app
  7. W

    Naombeni ushauri boyfriend wangu ana manyoya mengi

    Hizo nywele zina majina yake kama sharubu, ndevu, vinyeleo,garden love nk mtake radhi boyfriend wako kwanza unaposema manyoya kwani yeye kawa ndege hatuelewi. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. W

    Wananchi wanaporudishiwa serikali yao wafanyabiashara wanabakia kununa

    Hapa tunarudi kwenye ujamaa kwamba misingi yote ya uzalishaji inarudi mikononi mwa serikali na serikali ndio muamuzi na mpangaji wa yote badala ya kuwa mikononi mwa watu binafsi kwaiyo kwa sasa tutarajie utaifishaji sio tena ubinafsishaji kwa hali hii Sent using Jamii Forums mobile app
  9. W

    Dr. Mpango, unda task force ya kufuatilia risiti za EFD, serikali inapigwa sana

    Hizi mashine tunaangaika bora vingewekwa viwango maalumu vya kulipiwa kodi katika kila biashara watu wangefurika hadi wangeshindwa kuwahudumia pia wangeamsha ukuaji wa biashara coz kila mtu ungekuwa anaelewa akalipe nini, sasa tatizo unatumia machine lakini bado unakadiliwa kwa viwango...
  10. W

    Ukaguzi wa leseni za biashara usiku je utararibu huu upo kisheria? Au ni wapigaji tu

    Aisee leseni gani inalipiwa serikali za mtaa au leseni za kulipia ushuru.
  11. W

    Ivi hapa ni wapi jameni

    Kwani huyo victor wanyama ni nani hapa tz, na kwanini huo mtaa wauite hivyo au ni mtu maarufu kwa kuchoma au kukaanga nyama au mishikaki ndio maana ukaitwa mtaa wa victor wa nyama nini?
  12. W

    Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Wametuchezea vya kutosha.
  13. W

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Napendaga ma like nyomi attention ila sipendagi makiki kama msanii.
  14. W

    Pitia hapa kama wewe ni graduate

    Mbaya zaidi sio graduate wote wamesomea biashara ndio maana aliyebuni hii JF akaweka forums mbalimbali mfano siasa, mahusiano, biashara nk.
  15. W

    Hivi mnaiona hii Speed ya MeTL kwenye soko?

    Tatizo ni quantity mo juice zake kaziweka kwenye ujazo mkubwa lakini azam ujazo wake upo palepale ila Azam ni wabunifu huwa wanaanzisha kubuni vinywaji mo ana copy.
Back
Top Bottom