Hivi mnaiona hii Speed ya MeTL kwenye soko?

You don't know what you are talking about. Pin this thread. Show me a Tanzanian man who have raised 200mill usd for equity, and i will show you a man who is in charge.
Someone in Tanzania, last week he signed a contract worth 450mill usd outside of this country,last four years he raised over 400mill usd.
TIME WILL TELL



Hua nawasikia sana watu wakijaribu kulinganisha utajiri wa Mo na Sheikh Bakhressa, watu wanasema Bakhressa kamwacha mbali sama Mo. Nakaa nacheka tu.

Huyu jamaa nilikutana nae mwaka jana ofisini kwake pale Golden Jubilee Tower, aisee huyu Mo ni kichwa, tena kichwa cha motooo. Kila anachozongumza kinarelate 1 kwa 1 na biashara. Tofauti na sisi ambao muda wote tuko kwenye simu, nilivyokua nae alitumia calculator mara nyingi zaidi ya simu.

Huyu Mo ana MBA ya Georgetown University, na alikuwa president of students' Organization (tena mwafrika wa kwanza kushika hiyo nafasi pale Georgetown). Hii inaonesha jinsi gani jamaa alivyo smart. Nakumbuka kwenye interview yake 1 na CNBC alisema yeye ndio largest producer na trader wa sisal duniani. Yani sisal anayoproduce kwa siku anaweza kuizungusha na ikafunika dunia mara 3 hivi.

Dewji kwa E. Africa yeye ndio trader mkubwa zaidi wa commodities in and out. Huyu jamaa ananunua korosho huko Mtwara kwa $1 kwa kilo then bei ya korosho ktk global market ni $12, ona hapa anavyopiga pesa ya wazi - na huko wamakonde msimu wa korosho niliwakuta wameneeka haswa, watu wamegonga mamilioni kwenye mashamba ya Korosho, TPDC walikua wanawanyenyekea vibarua wa kuchimba mifereji ya bomba la gesi, maana watu walikua na pesa ya korosho huwezi kuwa convince kufanya vibarua kwa ujira wa buku 3 kwa metre 1.

Ana export peagon peas, mbaazi, choroko, ufuta, mtama, nk kwa tones kwa tones... Huyu jamaa alinunua viwanda vingi sana vya serikali ambavyo vilishaanza kufa, akauziwa kwa bei ya dagaa, karenovate saivi anazalisha karibia kila kitu, sabuni, viberiti, chumvi, baking powders, karibu kila kitu.

Kiufupi huyu Mo yuko very smart, kazaliwa anamuona baba'ke mzee Gulam Dewji anafanya biashara, kakulia kwenye biashara, kaenda best schools hapa duniani kusomea biashara. Yani hafanyi vitu kwa mazoea, anafanya vitu kwa modern trend, na yeye ndio anaintroduce hizo modern trends hapa Bongo, so rivals wake kina Zacharia, Bakhressa wote wanakua wanacheza ngoma yake.

Kuna watu wanasema jamaa ni kwamba alikuta tyr home kuna utajiri so yeye akaendeleza... ukweli ni huu - Dewji alikuwa wall street ndio Mzee wake akamuomba arudi Bongo kurun business, mzee alishaona kazidiwa vby na kina Bakhressa, wakati huo MeTL ina utajiri wa $30 mil. Sasa huyu kichaa akapewa rungu. Ndani ya miaka 11 akabadilisha $30 mil kuwa $1.1 bil. Kitu ambacho hakuna Mwafrika anaweza kukifanya, labda tu Dewji aanze upya. Nakumbuka Dangote alikopeshwa pesa na mjomba ake (ambae alikua the richest man in W. Africa back then) pesa hiyo kwa kipindi hiko ingeweza kununua luxury Mercedes Benz 550... lkn ilimchukua dangote miaka 30 kukamata $1 bilioni - tofauti na Mo ambae ilimchukua decade 1 tu.

This boy is a Beast!!
 
Mimi nafikiri moja ya ujanja anaotumia MO ni kuuza bidhaa zinazofanana na za washindani wake kwa bei ya chini kidogo japo anaweza kupunguza ujazo kidogo,ni kama anacheza na akili za wabongo
Ndio alichofanikiwa

Sasa hivi hata takeaway za cocacola zinapumulia mashine mbele ya mo passion na mo orange

Yeye kawaletea mililita 400 kwa sh. 500

Sasa nan atoe 1000 kwa takeaway ya coca yenye millilita 500

MO ATAENDELEA KUJA KWA SPID YA AJABU

SOON NAJUA ATALETA VING'AMUZI VYA kifurushi 5000. , azam atapotea kabisa

Njoo kwenye maji masafi

PH yake ipo safi amebalance chumvi na bei ni 500

Azam yeye maji yana chumvi halafu bei 600
 
  • Thanks
Reactions: OTG
Umepata Ajira Pale Nn? Maana Kusifia Huko Vp! Melt Me Nakunywa Sn V2 products zake Lkn Co Mbunifu, Anacopy Sn kwa Bakhresa V2 Vingi. Cha Utofauti Ni Lile Nembo Mo Bac.
 
Mo ni official supplier wa LG Electronic products, airlux na sasa ana mo electro bidhaa zote za electronics. Ingawa hz za mo electronic hazina ubora kabisa. But vitu vyake ni bei poa so kwa mentality ya wabongo kupenda bora kitu na si kitu bora anatupata hasa. Like kariakoo sasa hivi mo electro ina kimbiza sana kishinda brand za kaliba yake kama Boss. Heko Mo
 
You have spoken my mind.... am watching Mo closely and grab what I can grab from him. He is extraordinary. One day YES, it all depends on the inside.
CCM ilimchelewesha sana huyu mfanyabiashara mwenzangu wa kimataifa , nakumbuka nilionana naye Johannesburg tuliongea mengi sana , acha tu afanikiwe
 
Mo anafanya vizuri. Uchunguzi wangu unaomyesha retailer wengi wanapendelea Mo products (hasa maji na soft drinks) kwakuwa zinauzika zaidi. Azam walikuwa wameshika soko miaka 2 nyuma sijui tatizo ni nini? Nahisi kama kuwa na azam tv/decoder kumewapotezea focus kwenye products? Kiufupi inabidi wajipange upya.
Tatizo ni quantity mo juice zake kaziweka kwenye ujazo mkubwa lakini azam ujazo wake upo palepale ila Azam ni wabunifu huwa wanaanzisha kubuni vinywaji mo ana copy.
 
Back
Top Bottom