Kwani huyo victor wanyama ni nani hapa tz, na kwanini huo mtaa wauite hivyo au ni mtu maarufu kwa kuchoma au kukaanga nyama au mishikaki ndio maana ukaitwa mtaa wa victor wa nyama nini?huo ni mtaa wa victor wanyama kaka, hupo ubungo viwandani.
Ndio mkuu nahitaji kufika hapo nikafanye utalii wa ndaniUnampango wa kufika?
Samahani kwa swali maana ndio tanzania yetu hii swali juu ya swali)
Ni bora watu wawe wanapimwa afya ya akili kabla ya kukabidhiwa nyadhifa kubwa ktk jamii
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hapo ni Chato, kuna mataa alafu gsri linapita baada ya masaa 12
Kuna taarifa umeiona humu JamiiForums na haifai kubaki mtandaoni?
Fanya hivi...
Unapata ugumu kuikumbuka akaunti yako? Unakwama kuanzisha akaunti?
Contact us