Recent content by William John 67

  1. W

    Mihadhara ya namna hii ni sahihi...?

    Hivi hao wanaojiita mitume ni nani? Waislm au Wakristu? kakobe ni nani?
  2. W

    Udini CCM? - viongozi waislam ni 75

    Dini ya nini katika siasa huyu jamaa anataka nini? Tusiingize udini katika siasa Je TRA ina waslam % ngapi na wakristu % ngapi? Hatufiki kokote. Udini na Ukabira haufai kabisa
  3. W

    Waislamu wawili watanzania wafariki wakiwa hija

    Huyu jamaa mpuuzi tu hana akili
  4. W

    ATCL yawasimamisha kazi wafanyakazi zaidi ya 150

    Uamuzi mzuri sana Atcl ina ndege 2 wafanayakazi 255 wengi sana. Bora wawe wachache ufanisi uwe bora. Ila Mataka nae apewe barua yake hafai kabisa.
  5. W

    Rubani wa Air Zahra ashushwa ndani ya ndege na TCAA

    Hii ni biashara tu hawa jamaa wa Atcl na Precision air ndio kazi yao.Hasa Precision air.
  6. W

    Mwakyembe, Kilango, Sendeka wamzukia Lowassa jimboni

    Hawa wabunge wenyewe mafisadi, Hawamuwezi Lowasa hata kwa nini. Lowasa anapendwa jimboni mwake. Selelii nenda jimboni kwako kaokoe watima wa Nzega.
  7. W

    Rostam sasa awaita akina Selelii "wapuuzi"

    Kwa nini wasimalize tu, Iundwe tume huru ya majaji ikiongozwa na kiongozi wa upinzani bungeni Hamad Rashid au Slaa au Zitto ndio tutajua ukweli. Selelii jimbo lake liko ktk matatizo toka awe mbuge mpaka sasa hakuna alilofanya barabara ya Nzega Tabora mbovu,Hakuna maji Nzega matatizo ya dawa...
  8. W

    Should Maximo stay and enjoy the money 4 nothing? - Contract to be renewed?

    Hawa Viongozi wote hawafai kabisa wajiuzuru tu maana hatuoni maendeleo yoyote. Kipa mzuri anaachwa na wachezaji wazuri wanaachwa. Sababu zake ni za kitoto kabisa Hakuna kipa bora kuliko Juma Kaseja wote tunafahamu Athumani Idd na Haruna Moshi bado ni wazuri sana. Tenga na Mwakalebela hawafai...
  9. W

    Kikao cha CCM: RA Atema Cheche "Nitajiuzulu...."

    Hapa sio Rostam au Rowasa hapa,Hapa ni je tume ya Mwakyembe ilisema kweli au? Maana hawa kina Mwakyembe nao walikuwa na maslahi yao ktk umeme wa upepo singida sasa iundwe tume kuwachunguza hao kina mwakyembe Mwenyekiti awe Slaa au Zitto
  10. W

    New Targets: Slaa na Raia Mwema

    Slaa anakubarika Je Mbowe atakubari kuachia nafasi hiyo? Slaa Rais Zitto waziri mkuu Mbowe hatumtaki fisadi
  11. W

    Who are they: Mbowe, Sitta, Slaa, Zitto, Mwakyembe, Kubenea, Lissu, Rostam...

    Do itakuwa ngumu, Chadema tafuteni kiongozi mzuri wa kupambana na ccm sio huyu hafai mtu akiwa na madeni atalipa akiwa rais hatumtaki. Kwa ninimsitafute mtu safi wa kupambana na JK
  12. W

    Arab world still far from becoming a 'knowledge society'

    Jamani tuwe wazi wafrika wangapi wako nyuma kielimu,je dini ndio sababu? Tuangalie yetu kwanza
  13. W

    Serikali, Wenye Hisa za NICOL ndio wameliwa au...?

    Hii ni DECI nyingine hawa jamaa ni wafikishwe mahakamani kama mafisadi (TEMBO)
  14. W

    Serikali, Wenye Hisa za NICOL ndio wameliwa au...?

    Hawa jamaa kina Mengi sijui kwa nini tunawakumbatia mpaka sasa na kuwaona eti wao wanasaidia sana jamii. Ukweli ni kwamba wanatumia pesa zetu kujitangaza wao,pesa za walala hoi ndio wanatumia. Lakini Rostam alisema kuwa Mengi kaiuzia NICO kampuni yake iliyofilisika sisi hatukusikia sasa ndio...
  15. W

    GE2010 Kuelekea Uchaguzi mkuu CHADEMA Sept. 2009

    Zitto umetuangusha sana vijana wenzako una umedhihirisha kuwa huwawezi wachaga. Sasa tunajua kuwa hatuwezi kubadilisha chama cha wachaga kuwa chama cha watanzania wote. Wachaga oyeeeee
Back
Top Bottom