Jana nilisema kuwa "Chadema Kuteketezwa"
Leo Mwana kijiji amekuja na jipya la Raia Mwema na Dr. Slaa.
Taarifa za kina ndani ya Chama hicho kinadai, kuwa Dr. Slaa bado hajaridhia kugombea Urais licha ya kupata msukumo mkubwa kutoka kwa wananchi. Dr. Slaa ambaye ni Kiongozi makini kuliko wote Tanzania , bila hofu atamsumbua sana JK 2010 ikiwa ataridhia maombi ya wananchi.
Amejitokeza mara kadhaa kukiri kuwa hana mpango na Urais. Wala hiyo siyo mkakati wake, watu wa karibu yake wanasema kuwa bado na kiu na Ubunge.
Raia mwema bado ina lack jambo moja, inaandika habari kitaaluma zaidi, target yake ni middle class. wakati mwana Halisi kama udaku wa kisiasa inaeleweka na kila Mtanzania.
Tusubiri - Nadhani Zito anafaa sana kwa 2010 kwa Chadema!
Mimi nawashauri CHADEMA kuwa wasiweke mgombea urais mwaka 2010 kwani Slaa na Zitto ni wachanga sana na hawaTOSHI wanahitaji muda sana kukomaa.