Recent content by Will Jr

  1. Will Jr

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    dah hii kali, kwamba ameamua tu hahahah
  2. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    ukisikia Alexandr hleb, Tom Rosicky, Santi Carzola utaelewa nazungumzia nini, kuna kijana anaitwa modric pia, alikuja Spurs akiwa mshamba tu ila baadae balaa likawa kubwa. hleb one of my favourite players kuvaa jezi ya Arsenal
  3. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Manyumbu nao wamekuwa wazuri baada ya kuona Arsenal anaenda kuwa bingwa
  4. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    kuna tetesi za Alvarez, Gordon na Sandro tonali, sa sijui itakuaje kwa odegaard km Alvarez atatua Emirates, naona Timber na Alvatez ni wachezaji wanaofanana sana Mentality na kocha Arteta, so ni wazi alvarez ni chaguo la kocha. Na kwa hii Arsenal tunahitaji mentality monster ili kuendeleza ubabe...
  5. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Chawa wamepotea, Jukwaa limebaki na wababe
  6. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jamaa anajifanya ana pumzi ya kutosha, mimi naamini with maturity and the right mentality tunao uwezo wa kupiga zote 13, paka yeye mwenyewe hapohapo kwao, afu tunamuacha acheze mpira sisi tunampiga set pices za kumkeraaa, na carabao tunampiga goli la kona moja tu afu tunashikilia bomba, this...
  7. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Notts forest au Liverpool Hawawezi kucheza deep kumzidi Inter, the issue ni kwamba we dont have someone to unlock those packed defenses, Man city wanaye cherki, what do we have? Odegaard? ndio maana tunahitaji combination ya ballers upfront (Saka-Eze-Trossard) kinyume na hapo ujue hiyo selection...
  8. Will Jr

    Mnakuwa na maana gani mnaposema tusioe wanawake tunaowapenda

    mwanamke unayempenda hisia zinakupa upofu unakuwa huoni kwa jicho la tatu, siku ukiona unakufa
  9. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Victor Gyokeres pia sio type ya mchezaji nayempenda, Sesko? this is material, tuliwahi kuwaongelea kipindi cha usajili ila watu wakasema tunahitaji mtu wa kutikisa nyavu tu, haya sasa magoli hamna na general play hamna, Sesko ni mazingira tu lkn nachoamini ndani ya timu yetu huyu mtu angekuwa...
  10. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mi nashindwa kuelewa kwanini ebere Eze hachezi! Sijawahi kumkubali Martin Odergaard, leo nadeclare interest.
  11. Will Jr

    Hivi wakuu demu ukimuomba namba alisema Hana simu inamaana ndio hakutaki au

    Approaching, ukishakosea hapo the way you open up kuambiwa sina simu huwa ni kawaida labda uwe na kamuonekano ka hela
  12. Will Jr

    Mnajua kwanini kamata kamata imeongezeka Kitaani?

    We fala unaongea ungese, kawatishe watoto wako kwenu
  13. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    it's 2-2 brother till now
  14. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nimeona kwenye mazoezi kuna internal challenge ya kum unlock gyokeres, yani pass to gyokeres so he can score many
  15. Will Jr

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Everton tutampiga vibaya sn km City ataongoza ligi leo
Back
Top Bottom