Recent content by Will Jr

  1. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Kuna boya alianzisha ule Uzi "leo rasmi nimeacha kuishabikia arsenal" tulikuwa tukifungwa au Ku draw tu washikaji wanakimbilia Ku comment, basi nilikuwa nakereka mno nikiuona ule Uzi upo active. Dah Arteta katutoa mbali sana.
  2. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hahahhaaha Kummmke computer arsenal huyu mtu umenikumbusha mbali sana, kipindi kina saka na smith rowe ndio wanaanza kuaminika, jamaa alikuwa anajua kulalamika huyu
  3. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Msimu ujao naona ligi itakuwa ngumu zaidi, paka sasa kuna Arteta, Alonso na Maresca( kama atatua City), wote wakali na wana wachezaji wazuri
  4. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Pep mwenyewe kakubali huu msimu kapambana sana lakini wapi, credit kwa Arteta maana pep kakimbiza sana upepo, ujue ile ilikuwa vita ya mentality zaidi, nampa sifa Arteta kwasababu hakuwahi kushinda kombe kubwa lakini kaonesha kwenye hizi run-in anaweza kucompete with the best, ukumbuke January...
  5. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Jana huwezi kuamini nimeota Arsenal kuchukua UEFA Wazee, for the first time, ngoja tuone. Na tukichukua hili we're going to win it back to back, I believe next season tutakuwa na finance ya kutosha kuziba Magap with the very best players
  6. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Ushindi dhidi ya Villa 4-1, intermilan 3-1, Atletico 4-0, Sunderland 3-0 lilikuwa ni Bango kubwa kwamba we mean b'ness hii season.
  7. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tukiwin game ya jumatatu basi tutashinda ubingwa kabla ya tarehe 24 sababu sioni ni kwa namna gani Bournemouth anaweza kufungwa na city!
  8. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Bournemouth ndio anatupa ubingwa, hii uhakika ndugu yenu anakufa mchana kweupe
  9. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal kutinga fainali ya uefa wanaoumia sana ni Manyumbu na cheltako
  10. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Shabiki la manyumbu linaendelea kujipa hope, utaumia sana Msimu huu, hutoamini hiyo siku, wanaume tunaingia kama chui mwenye njaa kali. PSG watoto wa juzi, tutalithibitisha hilo trh 30.
  11. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    He doesn't want to take risks while the position needs him to take risks, I believe he can be better than this, he is a good guy and better player.
  12. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mzee wa kazi chafu we mpira Unaujua, risk averse ndio kitu kinamuua zubimendi na Arsenal kiujumla, City ameweza kutu catch up sio sababu tuna Timu mbovu, sababu kubwa ni kutoka nje ya utamaduni wetu wa kucheza mpira mwingi, kuogopa Ku take risk kitu ambacho kinafanya tunakuwa predictable na ndio...
  13. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mtoto wa Hale end, Myles lewis skelly, amekuzwa kwenye basics za total voetbal by papa Arsene Wenger, yani dogo ameanza leo na tumeona mpira wa Arsene Wenger tulioumiss muda mrefu, liquid and attacking football, the things we love the most, hivi ndio vitu vilivyofanya tukaipenda Arsenal, Arsenal...
  14. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yaani mi naamini zubimendi ni mchezaji bora sana ila inabidi ajifunze ujasiri kwa Huyu dogo lewis skelly, asiigope Mali, aitake mali muda wote mguuni, zubi ametuangusha sana kwa kutunyima game control this season, hivi unawezaje kuwa controller kama unauogopa mpira? Muda wote yeye anataka...
  15. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Leo nimepata hata nguvu ya kucomment cuz we had a very good game, mimi ni muumini wa mpira mzuri, kocha Ana capability ya kufundisha mpira mzuri lakini kwa mbinu alizotumia tangu January ndio zimefanya city Ku close the gap, kwa mechi ya leo nimemsamehe, naamini amejifunza kwamba this club was...
Back
Top Bottom