To be honest, bila dogo lewis skelly kuingilia kati, zubimendi kidogo atupotezee ubingwa msimu uliopita, jamaa sijui alikuja kuwaje kuwaje, yani akicheza dakika 10 tu unaona game inaanza kumshinda, akawa tofauti kabisa na standard za wenzake, bado naamini ana kitu mguuni ila ni vizuri kuona...