Jamaa anajifanya ana pumzi ya kutosha, mimi naamini with maturity and the right mentality tunao uwezo wa kupiga zote 13, paka yeye mwenyewe hapohapo kwao, afu tunamuacha acheze mpira sisi tunampiga set pices za kumkeraaa, na carabao tunampiga goli la kona moja tu afu tunashikilia bomba, this...