Recent content by Will Jr

  1. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    We kwetu waga ni mserereko hata usajili nani, kiufupi ligi ishakua ya kwetu sio kwasababu timu nyingi ni dhaifu ila kiukweli we have built a dynasty km asemavyo Arteta, midfield ya Guimaraes + Rice unafikiri mchezo nini, sisi tuna compete na PSG na Real Madrid tu, na Man city km pep angekuwepo
  2. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    To be honest, bila dogo lewis skelly kuingilia kati, zubimendi kidogo atupotezee ubingwa msimu uliopita, jamaa sijui alikuja kuwaje kuwaje, yani akicheza dakika 10 tu unaona game inaanza kumshinda, akawa tofauti kabisa na standard za wenzake, bado naamini ana kitu mguuni ila ni vizuri kuona...
  3. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Guimaraes anachukua nafasi ya Noorgard ambaye amejiunga na Everton, Uwanjani Guimaraes anaweza kutumika km box to box that's means he is rotating with Declan rice lakini pia anaingia direct kwenye nafasi ya Defensive midfielder kwa lengo la Ku improve required standard, Zubimendi hapa kazi anayo
  4. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Taarifa ya Ornstein inaonesha they have discussed him(vini jr) and approved him at all levels, na huu ni usajili wa The Kroenkes kuliko Arteta naamini, pia i believe lengo ni kuongeza thamani ya Club na utajiri wake kiujumla
  5. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Epl tunapiga back to back, nasikia Rodri anataka kumkimbia Maresca!
  6. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Thoughts on Vinicius Jr to Arsenal wazee? mimi naona hapa 100℅ tutachukua UEFA na hasa kama Bruno Guimareas naye atasajiliwa, hapa PSG hatotusumbua tena, mpinzani atabaki mkongwe Real madrid
  7. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Haya sasa maisha matamu usiku huu Singapore

    Ndio boss wangu Venchwa, ebu okotesha hapa vijana wenzio hata 200$ tajiri
  8. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Sio kweli, pesa ya bill gates utaisoma kwenye majarida ya Forbes tu lakini huwezi kuiona inavyomove kama hao wachimbaji wa Katoro
  9. Will Jr

    JamiiForums Tanzania John Heche hasafishiki hata kwa Sabuni. Tuhuma zinazomkabili ni juu ya kuwekewa Fedha kwenye akaunti yake binafsi. Hizo zinapaswa kujibiwa na yeye

    Huyu jamaa mshamba hajielewi hata kidogo, linakwambia "heche hasafishiki hata kwa sabuni" hapohapo linasema "tuhuma zinazomkabili", sasa mtu anatuhumiwa unasemaje hasafishiki! Yani Ma ccm akili Zao ni uozo, yamejaa mavi hadi kichwani
  10. Will Jr

    JamiiForums Tanzania John Heche hasafishiki hata kwa Sabuni. Tuhuma zinazomkabili ni juu ya kuwekewa Fedha kwenye akaunti yake binafsi. Hizo zinapaswa kujibiwa na yeye

    We mleta mada nawe ni fala tu, unahisi walioweka pesa kwenye akaunti ya heche hawakujua kuwa pesa inayowekwa kwenye akaunti yake ni Mali yake?
  11. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mbaya zaidi wachezaji wazuri wenyewe wanatupenda
  12. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Mara yako ya kwanza kushika zaidi ya TSh bilioni 1 ilikuwaje?

    Duh! Ndege John haya ni matusi ya wazi kwa waTz, sababu hali zetu za ugali dagaa unazijua!
  13. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Maono: Baada ya hayo yote, akiondoka ataichoma nchi

    Nchi hii Haina usalama wa taifa, usalama wa taifa ni ccm, kama Lissu siku moja atapita kuwa rais inabidi aanze Kuunda hii idara upya from the scratch kwa maslahi mapana ya taifa, hivi usalama wa taifa inakuaje unachagua upande? yaani ni sawa na Mungu aseme anawapenda wakristo kuliko waislamu au...
  14. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Heche: RC Sirro anasema kifo cha Suez ni cha kawaida hata kabla ya majibu ya Postmortem

    We fala tu, hakuna Anayekuzingatia humu na njaa zako.
  15. Will Jr

    JamiiForums Tanzania Uzi wa kuleta ushahidi ni lini WaMorocco walisema wao sio Waafrika

    Nafikiri ndio kipindi kile kwenye mashindano ya WC 2022 baada ya Ku perform mechi flani kuna mchezaji alitamka kwenye vyombo vya habari kuwa 'huu ushindi ni kwa ajili ya waarabu na waislamu wote'
Back
Top Bottom