Recent content by Wi_Fi

  1. Wi_Fi

    Kiwango cha mshahara wa wakuu wa idara

    Omba kujua kwanza idara zilizopo ktk taasisi hizo ili ujue kama hao uliotaja ni wakuu wa idara au la, asante
  2. Wi_Fi

    Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Njombe ahamia CCM

    Tatizo lipo pale top layer ya CHADEMA.
  3. Wi_Fi

    Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

    Wengi wetu tulitupilia mbali yale madishi makubwa, ni wakati muafaka wa kuyarejesha kwa ajili ya local channels. Mimi nina king,amuzi cha Azam na dish kubwa kwa ajili ya local channels. Sikujua kama kuna mgogoro huo hadi nilipoiona via Taarifa ya habari ya ITV. Ukiambiwa kitu changanya na zako...
  4. Wi_Fi

    Jipatie mkopo unufaike hapa bongo...BRANCH ndiyo kampuni bora ya kutumia

    Ukitaka kujiunga na Branch promo code UEJBJI, pro code ya TALA ni 8Z68CF. Yajayo yanafurahisha kazi kwako.
  5. Wi_Fi

    Laptop inagoma kuinstall printer hp lasert p1102

    Tafuta software ya hiyo printer kwenye google then install kwenye laptop yako kisha anza installation.
  6. Wi_Fi

    Maandamano ya CHADEMA: Aqulina Akwilini Mwanafunzi wa mwaka wa kwanza NIT apigwa risasi na kufariki; Polisi wakiri kuhusika

    Kwa hoja yako kuna kila sababu ya kushughulisha vichwa vyetu zaidi tusiishie hapa
  7. Wi_Fi

    Napendekeza bidhaa zipigwe kodi mara moja tu, njia ni hii

    Ninaunga mkono hoja. Kingine, ule ushauri wako kuhusu pendekezo la kuanzisha TRA EFDs app nalo lilikuwa bomba sana. Mwisho-nakushauri thread zako za kiushauri uwe unaziweka chini ya thread mpya unayoifungua ili ziwe zinaonekana kwa urahisi.
  8. Wi_Fi

    Anayeidai Serikali posho ya kukaimu na jina lake limetoka ajitokeze

    Waliohakiki ni binadamu lazima kuna makosa somewhere inatakiwa kuwepo room ya kupokea malalamiko yao.
  9. Wi_Fi

    Shambulio la Lissu kupigwa risasi: Polepole aibua mapya

    Only in tz Badala ya kuongeza cctv camera eneo la tukio zinaondolewa.
  10. Wi_Fi

    Nimetumiwa email na Toyota nimeshinda USD 350,000

    Usitume details zako, wezi hao
  11. Wi_Fi

    Uzi maalum wa picha za Nabii Tito

    Niliwahi kukutana naye maeneo ya Sinza Dar mwaka 2013 nilihojiana naye kwa muda wa kama saa 1 hivi, nilihitimisha kuwa Tito hakuwa timamu.
  12. Wi_Fi

    Mbioni kuanzisha website yenye kuelezea juhudi kubwa zinazofanywa na Rais Magufuli

    Wazo lako ni zuri, nikushauri uboreshe wazo lako hivi:- 1. Tengeneza website itakayokuwa ina orodha za ahadi kama zilivo ktk ilani (manifesto) ya ccm, zilizotekelezwa, zinazoendelea na ambazo bado. Zionyeshe kwa asilimia pia. Unaweza kuanzia ilani ya 2010/2015 ili kuleta mvuto kwa msomaji...
  13. Wi_Fi

    Kipi bora kati ya kuwa na maendeleo ya nchi bila demokrasia au kuwa na demokrasia bila maendeleo ya nchi?

    Mfano DRC, yaani Democratic Republic of Congo-utawala wa kidemorasia ndo unawafanya waendelee kuteseka maana hakuna nchi nyingine duniani inayoweza kuwaamulia wajitawale vipi. Hadi atokee mwanamapinduzi wa ndani wa kuubadili upepo ndo mambo yatabadilika. Uganda hali kadhalika, kisa eti...
  14. Wi_Fi

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Hongera, ukianza na 1milioni si vibaya hata chini ya hapo kinachotakiwa fungua mlango ili ujue watu wanahitaji nini. Anza na pafyumu, lotions, brazilian hairs, shapoo. Njia rahisi ya kujua mahitaji ni kufikiria kama kuna saloon za kike jirani zingehitaji vitu gani vya haraka haraka. Pia fikiria...
Back
Top Bottom