SHIMBA NGOSHA
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 294
- 368
Sea hapa hapa kila mtu ajue mambo ya pm ya nini mnaficha nini
Hao maboya wanakeraaaa sana.
Sea hapa hapa kila mtu ajue mambo ya pm ya nini mnaficha nini
Ili Umtapeli siyo?Njoo pm
Habari, naomba na mimi uniunganishe na huyo supplier wa bidhaa za urembo tafadhalHAbari naweza kukuunganisha na supplier wa bidhaa za urembo bei nafuu toka uarabuni nichek inbox
Hajataka kufahamiana na mtu bali information kuhusu biashara ya cosmetics haswa kwa ambaye anaifanya au ana idea nayo, wewe unataka kunfahamu mtu au kupata idea ya cosmetic business? Acha usaniiMimi nina wazo kama lako. Ila nikakosa muongozo. Tufahamiane ili tushauriane. Watu humu wanapita bila kujali
Umewaza mbali sana ndugu yangu. Pengine nami nimekosea kuandika. Sina Maana ya kumtaka.Hajataka kufahamiana na mtu bali information kuhusu biashara ya cosmetics haswa kwa ambaye anaifanya au ana idea nayo, wewe unataka kunfahamu mtu au kupata idea ya cosmetic business? Acha usanii
Ww ni mwenyeji wa pande hizoWazo zuri ila ufahamu kabisa katika Mikoa yao sijui 11 au 9 vile wapi panalipa! Ila usije ukaenda Nangade cabo del gado asee! Biashara haitakua nzuri sababu hapo mkoa wa kaskazini wengi ni waumini wa dini yetu so biashara itayumba.. Nenda nampula, pemba, maputo etc.
Hapana ila nina ndugu wanishi kuleWw ni mwenyeji wa pande hizo
Mzigo popote mkuu changamoto kubwa, bidhaa ni ya expire date hivo ni lazima ule hasara ya robo au hata nusu mtaji pindi kila ifikapo expire date.
Mzigo popote mkuu changamoto kubwa, bidhaa ni ya expire date hivo ni lazima ule hasara ya robo au hata nusu mtaji pindi kila ifikapo expire date.