Maendeleo ni muhimu zaidi.Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?
Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?
Huwezi tofautisha POLICCM na FISIEMNchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?
Watu wa magharibi hawatoi silaha ila nchi zenye migogoro hupenda kununua silaha huko (business)Vyote vinatakiwa kwenda sambamba maendeleo pasipo demokrasia ni hatari kubwa chukulia mfano libya gadafi aliangamiza wanaharakati wengi waliokua wanapigania demokrasia kwa kisingizio wanarudisha maendeleo nyuma matokeo yake adui zake wakatumia mwanya huo kumuondoa na maendeleo ambayo gadafi aliyaleta yakaharibiwa yote saizi libya si chochote mbele ya dunia
Tuje kwa jirani yetu hapo ruanda je unadhani kagame ataongoza milele je unajua mrithi wake atakua na sera kama za kagame? Mara nyingi nchi ambazo hazina demokrasia zipo kwenye hatari ya kuingia kwenye machafuko wakati wowote kwa sababu maadui wengi wanatumia kigezo cha kuminywa kwa demokrasia kuchafua nchi na wanapewa suport na nchi za magaribi ambao ndio viranja wa demokrasia
Nchi nyingi uonekana kukosa balance ya maendeleo na demokrasia kwenda pamoja na badala yake kimoja uzidi kingine yaan maendeleo yawe juu na demokrasia kuwa chini au demokrasia kuwa juu na maendeleo kuwa chini......nini wazo lako kuhusu hili?