Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Muda hii nchi nzima inaangalia Chereko-chereko TBC

Yaani watu wengi mngekuwa na akiri kama zangu, tungegoma kabisa kuiangalia hiyo TBC yao kwenye visimbuzi aina yoyote ile, TCRA wajue kabisa kuwa hizi channel hazipendwi.
Kwenye uhuru wa kupata habari tumerudi nyuma sana.
Pia huu ni ujumbe kwa wabunge wetu wanapo tunga sheria wawe wanafikiria kwa maana sana.
Uzuri ni kuwa hata wana CCM kindaki ndaki hii shida wanaipata
 
Ving'amuzi vyoteee wameondoka channel za ndan km ITV, Channel10, startv, cloudstv, tve, eatv etc lakin cha AJABU channel ya TBC haijaondolewa. Sas hii tbc ni channel ya nje au ndo kulazimishana kuangalia taarifa ya habar tbc?
 
Mimi nipo naangalia Ethiopia Broadcating channel. Asanteni TCRA kwa uamuzi wenu wa busara sana. Sasa tutaweza kudiversify na kuangalia other foreign channels. I would rather watch carton network kuliko cherekochereko
 
Wengi wetu tulitupilia mbali yale madishi makubwa, ni wakati muafaka wa kuyarejesha kwa ajili ya local channels. Mimi nina king,amuzi cha Azam na dish kubwa kwa ajili ya local channels. Sikujua kama kuna mgogoro huo hadi nilipoiona via Taarifa ya habari ya ITV. Ukiambiwa kitu changanya na zako. Mlipoambiwa analogia tupa kule mkatupa na madishi.
 
Asanteni sana wahusika.
Sisi wenye dstv inabidi tuangalie chefeko chereko la sivyo tuangalie wakata viuno sound city.
Au wacheza uchi sound city
Tunashukuru
Hivi mtu ukitaka kuziona zilizofutwa (eg ITV, Clouds TV, Chanel 10, Star TV na nyinginezo) nifanye nini? Maana
1. Sielewi nia hasa ni nini?
2. Sielewi kama zimewekwa kwenye kifurushi chochote cha DSTV au La
3. Sielewi zinapatikana kwenye king'amuzi gani

MSAADA TAFADHARI
 
Kwa Mujibu wa sheria zilizopo mmiliki wa King'amuzi Ana hiyari Ni channel zipi ziwepo kwenye King'amuzi chake Na zipi zisiwepo lakin ulizochagua ziwepo Ni lazima Uzioneshe Hata Kama wateja wako hawajalipia

Wamiliki wa ving'amuzi wameamua kumwaga mboga Kwa kutoa local channel karibia zote Baada ya TCRA kuwalazimsha waoneshe bure Na Azam kuzuia kuonesha Habari Kwa Kuwa Sio maudhui waliyosajiliwa nao

Waziri kakurupuka Eti wawarudishie pesa zao wateja

Mkataba wa mteja Na king'amuzi ni Kwa zile channel Za kulipia Na Bado zinaoneshwa Wao wamezitoa Za bure iweje warudishe pesa

TCRA inabidi wakae mezani Kama wanataka suluhu Sio kutoa Amri
Sio hivyo mkuu

Azam,dstv hawana haki ya kuonyesha local channels

Startumes ndiye aliyepata tender hio

Ili Azam na dstv waonyeshe local channels inabidi bunge irekebishe sheria zake
 
TBC lipo aisee Mkuu the butcher,
Ikifika saa mbili usiku mke wangu analifungulia TBC taarifa ya habari huku katenga chakula sitting room nashindwa hata kwenda kulia chakula chumbanii,nabakia tu kumtizama Jiwe na fisiem yake wanavyoBore.Huwa sipendi ugomvi kipindi cha kukaribia kulala nisije ibua mambo mengine inabidi tu nitulie😡😡😡
Nimecheka mimi jaman!!!
 
Ving'amuzi vyoteee wameondoka channel za ndan km ITV, Channel10, startv, cloudstv, tve, eatv etc lakin cha AJABU channel ya TBC haijaondolewa. Sas hii tbc ni channel ya nje au ndo kulazimishana kuangalia taarifa ya habar tbc?
Wanainusuru ccm kwa kulazimishwa kuangalia channel moja,naona manunuzi hayajaleta tija kupandisha 100%.Ukisomesha no wenzio,itakuwa zamu yako kuisoma.
 
Wengi wetu tulitupilia mbali yale madishi makubwa, ni wakati muafaka wa kuyarejesha kwa ajili ya local channels. Mimi nina king,amuzi cha Azam na dish kubwa kwa ajili ya local channels. Sikujua kama kuna mgogoro huo hadi nilipoiona via Taarifa ya habari ya ITV. Ukiambiwa kitu changanya na zako. Mlipoambiwa analogia tupa kule mkatupa na madishi.
Yale madish ya kina gulf,elsat sijui Kama yapo connect baada ya soko lao kusua wanaweza wakawa walishafunga connection, wenye Duka wanamalizia tu stock zao labda.
 
Back
Top Bottom