Mimi pia alikua ananunanuna hapo mwanzo ila kwasasa hanaga tena shida, saa zingine yeye mwenyewe ndio ananionesha maana anajua vitu navyovipenda.[emoji1]
Ukiwa na mwanamke ambae anakuelewa na anachukulia vitu "easy" inakuwaga raha sana.
You're a conservative sorry to say, uzalendo wa mdomoni bila kutumia akili ni sifuri. Watu wanakupa shule ila wewe umajikita kwenye ubishi tu bila kuwa na data.
Nakuongezea information nyingine, kampuni nyingi za bima kama sio zote (hapa Tanzania) ukiangalia vitabu vyao zinafanya hasara kwenye...
Pole sana kwa hilo tatizo mkuu, labda nijaribu kushauri, kama kwa sasa uko kwenye mahusiano basi fanya siku moja moja mkae wote tu ndani (wewe unaweza kuvaa boxer tu na yeye kanga moja) bila kufanya tendo.
Unaweza ukaweka movie mkaangalia wote au mkafanya usafi, kupika etc kama ratiba za kila...
Kama unazo namba za huyo mwanafunzi naomba nipatie niwasiliane nae, nataka niangalie namna yakumnunulia godoro lingine.
Kama abiria mliokuwepo kwenye hilo basi sijaelewa mlishindwaje kumsaidia huyo mwanafunzi mpaka bus likaondoka na gorodoro ni aibu kwenu, ila nikupogeze kufanya hicho...
Ukihitajika uweke vielelezo/vithibitisho kwamba viyoyozi vya Suzuki na Subaru havipo mwanana kama ulivyo "conclude" hapo juu utaweza kutetea hoja yako?
Kama ulitaka kumuuliza mtu mmoja ungemtumia DM, swala la AC ni tatizo la magari yao labda hawajafanya "service" ya mfumo mzima wa AC kwa muda mrefu ukizingatia ni magari yaliyotumika..
Mimi natumia Subaru kiyoyozi kinapooza kama kawaida..
Nisamehe kama umekwazika na majibu yangu, ila uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.