Kuna rafiki yangu mmoja alihamishiwa mbali kidogo na nyumbani, nikamshauri anunue kagari kadogo maana uwezo anao,
Jamaa kajitupa kununua boksa mpya kimyakimya nilipomuona nikashika kichwa.
Kapata ajali kwenye junction gari ilimvaa, uso ulikuwa kama tikiti maji, alivunjika paja saivi hawezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.