Recent content by whiteskunk

  1. whiteskunk

    Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

    1. Ukiwa unavuta pumzi na una uzima huugui popote ni sababu tosha ya kuwa na amani, 2. We ishi tu usiyawaze maisha, kama una uwezo wa kula anzia hapo, lala usingizi wa kutosha. 3. Kama una watoto na hujui pa kuanzia unaweza kuwaegesha kijijini we ukapambana au kama una shamba kijiji unaweza...
  2. whiteskunk

    KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana

    Ukilalamika ukiwa umeshalipa deni kidogo utaeleweka
  3. whiteskunk

    KERO RTO Arusha, Polisi wa Usalama Barabarani (Trafiki) ni janga. Chukua Hatua

    Wakikosa pesa watakuomba hata maembe uliyonunulia watoto
  4. whiteskunk

    Tahadhari: Vijana mnaofanya kazi wenye mshahara laki 3 hadi 5

    Inakuuma nini we ishi maisha yako arifu
  5. whiteskunk

    Ndoa ni mpango wa Mungu

    Hayo ni mawazo yako kutokana na ukomo wa akili yako, kuna watu wanafikiria kuanzia ulipoishia kwenda mbele
  6. whiteskunk

    Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

    Mia nakimbilia 40 na sina hofu, kwani nilizaliwa nizae?
  7. whiteskunk

    Nape: Mapinduzi ya TEHAMA ambapo Akili bandia zitapunguza Ajira hayakwepeki ila tuyachukulie kama Fursa!

    Miaka 500 ijayo labda sio leo. Kama kuprint kitambulisho cha taifa inachukua miaka 5
  8. whiteskunk

    Neno ‘Nakupenda’ limeexpire

    Mchawi pesa na kwama
  9. whiteskunk

    Ukishazoea kushi na mwanamke ni ngumu sana kumudu maisha ya Ubachela

    Akili yako inawaza mapenzi tuu ndo maana,
  10. whiteskunk

    Loving you Mahondaw

    Jamaa amekamatika mbaya, sema nini mtaachana tuu.
  11. whiteskunk

    Loving you Mahondaw

    Natumae mleta mada amepata mwongozo
  12. whiteskunk

    Watu wanaamini kuna Mungu na shetani kwa sababu kuamini ni rahisi kuliko kufikiri

    Binadamu anaongozwa na ubongo, hivyo uwezo wako ndo umefikia hapo na upo sahihi kutokana na mawazo yako maana ubongo hauwezi kufikiri zaidi ya hapo.
Back
Top Bottom