Uuuwi nikisikia KIBAHA mwili unasisimka... nikisikia ILBORU nazidi kuchanganyikiwa... long live my schools..... Hahahaha.. ONCE SPECIAL ALWAYS SPECIAL watani zangu MZUMBE .... hahaha KILAKALA msalato pale kati ... ahaaaa na watoto wa Tabora galz... Special always... Nooo jembe lao KISIMIRI na...
Mimi ni mwana CCM ila zitto ni zaidi ya Mwana siasa Mpinzani wa kitanzania... !!
Sijaona kosa lake hali hii ni ''kawaida'' Kwa demokrasia ya katiba ya 1977 ...!!!
Hongera jenerali kwa mwazo kuntu...!!! LAKINI naona kurudi nyuma huko ume ''over-rate'' tofauti na ilivyo sasa..!!
Hali hii haiwezi kuondoka kama mfumo wa utawala ni uleule ( katiba) .. Ni lazima tubadili mfumo kuleta hicho kinachoitwa ''demokrasia''
''ah kabla ya kupanda kwenye stage.....!''
ONGEA DEILEE
Then COCA COLA ONJA MSISIMKO
daaa apa diamond kauaa..
''na ili joto dar tupate ya baridi coca...''
Tigo GROUP LA MA X
Then
Rita chuwalu (EA R)
Uyu dada ana unique voice..!!
Irine Tillya (EAR DRIVE)
MAMMY BABY i see yo...!!
VIDO (MOSH FM)
LUI NDAKIDEMI (MOSH FM)
DOLI na KWA FUJO (RADIO one)
Sandra Temu (TIMES FM)
Mariam KITOSI (Times fm)
DINA MARIOS uuwi hii sauti (E FM)
na wengine wengi
some thing connected to zanzibar???
au ujio wa israel tz ???
kwann iwe kiusalama???
kwann hadi meli???.
Y Tanzania???
Tuna biashra gni na iran???
anyway nawaza kwa sauti...!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.