Inategemea na alipokulia
Ashakuwa mkubwa now
Usihangaike nae atakuzingua siku moja
Just mwelekeze kwa utaratibu then achana nae Coz 19 keshaonja uhuru.
Kwa mahitaji ya msaada wa ujenzi kwa quality ya kihandisi msisite kunitafuta. Nipo hapa mhandisi ujenzi na msanifu majengo yupo. Kama una Ramani utalipa pesa ya “BOQ” kabla ya kazi na usimamizi wakati wa kazi ukitoa pesa ya material na mafundi. Kama huna Ramani nakuunganisha na “architect” wangu...
Niliwafanyia hizi hesabu mwaka 1999 nilipokuwa darasa la nne
Na zingine unaandika namba naruka mistari minne naandika jibu. Namba zote tutajaza katikati lazima jibu liwe niloandika
Loooong time
Mkuu Pasco hivi uliwashangaa Pia na kuwaandikia bandiko wale wabunge waliosema zitto inatakiwa auawe na marehemu lwakatare akapiga makofi. Au mshangao wako huwa ni one direction
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji16][emoji16][emoji16]
Astral world inakusumbua. Jaribu kupata balance ya kuweza kuingia na kutoka kwa hiari.
Acha nyama upate initiation ukomae zaidi...[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] [emoji112]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hizo ni experience za astral world tu. Hakuna uchawi hapo usiogope. Unapoogopa Ndio utaona vya ajabu zaidi. Lakini ni uongo mtupu una experience
Sent from my iPhone using JamiiForums
Nilichoona haraka haraka mwenge unahamasisha umoja kwa symbolism yake. Sasa kwa mwenge wetu sijui ni umoja wa aina gani either wa kutupeleka Chaka au kutupeleka sehemu sahihi. Hilo sijui. Kama hakutakuwa na mwenge kama ilivyozoeleka Maana yake kuna aina Fulani ya umoja utavunjika. Either for...
Ni wivu tu. Wamechomeana wenyewe kwa wenyewe. Zile report za kutikisa nchi Mbona hazikuwahi Tolewa.
Angalieni series ya queen of south muone zaidi. Kama marekani iliweza kumuua kiongozi wa Iran kwa drone from US to Iraq how comes wameshindwa kudhibiti biashara hii kwao. Take that example to...
Me Naona wahusika wa wananchi hawapo serious Na sisi. Take care of yourself kwa knowledge uliyonayo. Siku tukirudia ya Italy Ndio mtakumbuka haya maneno.
Thanks
Sent from my iPhone using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.