Mama Debora
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 1,482
- 2,582
Vipi kuhusu ENEMA wakuu nani anajua juu ya hiyo njia?
Mie naijua. Unainguziwa mpira kwenye mkunduu mavi yanavutwa.
Wanatumia sana kabla ya mtu kupelekwa surgery
Vipi kuhusu ENEMA wakuu nani anajua juu ya hiyo njia?
Mafuta yanakera. Yanaleta kichefu chefu.Kunywa mafuta ya nyonyo unaweza kuchanganya na uji pia.
Binbegu ndio nini? Inauzwa maduka ya aina gani?Kuna binbegu vinauzwa sh.200 kamoja nunua viwili vibonde umeze na maji subiri uchafu utakaotoka tumboni utalikataa tumbo lako. Hakikisha siku hiyo upo home tu na hauna kazi ingine. Usisahau kila masaa 3 unywe lita moja ya maji
Nchi yetu shiiiiiida kweli kweli. Ni Tanzania tu ndiyo nchi ambayo raia wake wanatembea na sumu mwilini kama nyoka lakini tofauti na nyoka, sumu yao inatakiwa kuwa ''flushed'' na mara kwa mara!Jamani nasikia kuna njia za kusafisha tumbo . Yaani binadamu anatakiwa kusafisha tumbo kwa kutoa sumu mwilini , uchafu n.k
kama kuna mtu ana idea juu ya hilo naomba kujuzwa