Hiyo mwz Airport inakera harafu inachosha jengo nililoliacha mwaka jana mwezi 8 nimerudi mwaka huu mwezi 2 hakuna kilichobadilika liko vile vile.
Upuuzi mtupu
Bora hata Dar, dodoma mbona hakushikiki ndugu yaani kila unachogusa unabaki kujiuliza huyu anataka amalizie ujenzi kwangu nini!!
Tangu mwezi wa 3 kuna mradi nausimamia hapa Dom aisee hapa nimetepeta sio kitoto, nimelazimika kufuata ushauri wa Dr wa Muhimbili bila kupenda
Hili hata mimi ninaeishi Mziha nilikuwa najua lingeweza kutokea sembuse hao wakubwa!
Kama wakasema watalipa kisasi kwa Marekani juu ya yule kamanda wao alieuliwa mwaka juzi January wangeshindwa hapo kweli!!
Hiyo Intel ingekuwa inajua ilikuwa imelala September 11!
Vipi kuhusu zile balozi Tz...
Yaani mshahara wa mil1.5 kibongo bongo usitoboe!! mbona ni mshangao mkubwa
Labda kama thinking capacity yako ni shida
Lakini kwa mshahara huo watu wamejenga gari wanaendesha watoto wanasoma vizuri na maisha yao yako vizuri pia.
Aisee baada ya kusoma hapa si nikaenda kuangalia FB yangu! mamaaa!
Ujinga kabisa na nina mda mrefu sana siingii huko saiv naangalia nakutana na rafiki yangu kanitagg khaa!
Nimeblock kabisa
Mimi hata sielewi imekua kuaje mpaka nimejikuta ni dereva tax nyie maisha yasikie tu
Wale wanangu hata sijui walipo sasa na matumaini yote tuliokuwa tunapeana imekuwa tofauti kabisa.
Unazingua mtaani unakutana na msoto wa kiwango cha lami, mpaka sipati majibu
Yaani hata sijui hao scout kama wanafanya kazi yao kwa uhuru bila kuingliwa na watu/mtu
Hivi mtu umesomea kazi yako na unaijua vizuri umeajiriwa kwa ajiri ya hiyo kazi unawezaje kuleta wajinga wajinga kama hao eti ndo washambuliaji,
% ni kubwa kwamba pale kuna ten pasenti
Saidoo
Louis
Jobe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.