Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,696
- 11,184
Hapo Jolly's Club mademu wa IFM wameuza sana. Ilikuwa ni hatari sanaCalifornia dreamer
Jolly's club Upanga
Hapo Jolly's Club mademu wa IFM wameuza sana. Ilikuwa ni hatari sanaCalifornia dreamer
Jolly's club Upanga
Hapana, Acha Amana Vijana. Huku Kawawa Road ilikuwa opp na Lamada sasa hivi kuna petrol station.Amana vijana center?
Pachotohuu uzi vitoto vya 2000's vinashangaa hapa baba zao walivyokua wanaruka debe Shentembaa bar Kinondoni,Mango Garden Kinondoni,Sansiro bar Nyakato Mwanza,City Cabana Mwanza.
Nyuma kulikua na banda la kitimotoHapana, Acha Amana Vijana. Huku Kawawa Road ilikuwa opp na Lamada sasa hivi kuna petrol station.
ipi hiyo?Bar ya Lowassa, Mwananyamala kwa Kopa
Nakumbuka hapo nilizama na msela wangu gill Biz mida ya saa tisa alasiri, tukatoka saa nne asubuhi, kesho yake.
🤣🤣🤣🤣 Sasa kunahaja Gani ya kuweka makao maeneo kama hayo.Ukaona maneno yasiwe mang'ana ukatoka balu![]()
aviti centre?Hapana, Acha Amana Vijana. Huku Kawawa Road ilikuwa opp na Lamada sasa hivi kuna petrol station.
meridianClub La casa chika - Tanga
Peace barBar ya Lowassa, Mwananyamala kwa Kopa
Magufuli alivunja hii mahali wakati imeshafeli tayariMakondeko Kibamba
7.City Ambassador (zamani Gogo Hotel) ni Mali ya Chama twawala kupitia jumuiya yake moja hv1. Silent Inn - sam nujoma..hata brenda fassie alifanyia perfomance.
2. Makondeko inn - kimara.
3. Ukanda wa Gaza - sinza makaburini.
4. Vatican City hotel - uzuri sinza
5. Maisha Club - Morogoro store masaki
6. Lang'ata - kinondoni makaburini
7. Ambasador hotel( kwa sasa jengo la airtel) pale morocco kinondoni - kila weekend hukuwakosa wana njenje.
8. Urafiki social hall - maeneo ya urafiki
9. Tip top bar - manzese( hukumkosa dr Lemmy na super matimila kila weekend
10. Highway night park - magomeni mapipa.
11. Lango la jiji - magomeni kondoa.
Idunda bar....kihesa1. Maryland Bar, ITV, Mwenge.
2. Hongera Bar, Shekilango Road, Kijitonyama.
3. Chagga Bite Bar, Makumbusho.
4. Mori Bar, Sinza.
5. Nakaleshi Bar, Sinza Madukani.
6. 5N Night Club, Sam Nujoma Road, opposite Mlimani City
7. Karembu Bar, Barabara ya Tano, Soko Matola, Mbeya.
8. Meeda Night Club, Sinza Mori.
9. Club Billicanas, Jamhuri Street,City Centre.
Hapa njenje ndo walikuwa wanapiga7.City Ambassador (zamani Gogo Hotel) ni Mali ya Chama twawala kupitia jumuiya yake moja hv
hao Airtel (zamani celtel) ni wapangaji tu pale kupitia yule mmiliki wa Quality Group
MtenaHivi Mtema au Mtena?
Shilla Disco, Dodoma
Magnum disco, Mwanza
Crystal club Arusha (hivi Bado ipo?)