wewe mwenye kisu kikali ndo mla nyama ata kama Madega ngekua na ushawishi namna gan but wa bongo weng wanaangalia nani mwenye pesa nyingi sijui hudhan atawagawia hebu ulzia mbunge wa jimbo la njombe kaskazini ana nini? utajua wabongo weng wanampenda kiongoz gan
Leo nimetoa machozi juu ya uchawi unaotaka kufanyika hapa kwa hali kama hii sioni sababu ya kuishi TANZANIA mwalimu wa kawaida anaehangaika kila dakika kwa siku moja analipwa elfu 8 kama siyo 10000/= kwa siku na huyu mtu anafamilia na anamudu mahitaji ya familia yake wewe mbunge wa katiba ya...
Zitto ni mwanaume na nnamkubali sana si kwa lile alilofanya bali kwa kua yeye ni mzima kiakili Ameweza kupigana hata dk ya mwisho na bado alikua anajiamini *** kwangu mimi naona amefanya vyema sana kuwapa changamote katika chama na Bungeni
Wahenga walisema "HAKUNA USHINDI PASIPO MASHINDANO"...
A powerful Kingdom like USA , UK, CHINA was formed by united Nashangaa sana sisi vinchi maskini kama nin Hatuioni thamani ya huu muungano**** "ALIE UCHANGANYA MCHANGA LEO MCHANGA UMEMFUKIA" ni baadhi ya kauli zawakosaji
kwangu mimi kama mtanzania niliguswa sana na lile tukio la ARUSHA SOWETO Watanzania wengi kabla hatujapata taarifa kamili moja kwa moja tulijua ni AL~SHAABABU washa tia timu BONGO
Hapana hoja kua kuna baadhi ya makabila tu ndio yanapaswa kuichukua ikulu si kweli kabisa ni mambo tu ya kufikirika ila sema tu yapo baadhi ya makabila ambayo yalichelewa sana kuelimika hivyo hata kama wakiwania kiti kile hawatokipata kabisa na wengine ni wenye itikadi za kikabila yaani...
Hebu vuta picha hili tukio lingekua ccm cdm ndo wengejua ni muda muafaka kwa wao kuchukua point tatu muhimu maana mara nying sana wameonekana kukinyooshe vidole chama tawala hususani kinapochelewa kutoa maamuzi mazito kama yale ambayo wao wangepaswa kuyafikia kwa muda mfupi kama ilivyokusudiwa...
mzizi mkavu sema tu na watu wengi wamestarabika mambo ya vurugu na fujo wamerithishwa ng'ombe mbuzi na kuku lakini wanadamu tunafanya makubaliano mazuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.