Kwenye fedha ndiko tunataka kusikai watasema nini maana Mbowe katuhumiwa kula pesa nk .Kwenye fedha tunataka kuona Changes na signatories wanakuwa watu ambao ni watendaji na Mbowe aachie sahihi . Chadema wawe na Accountant ambaye hataliliwa kwamba ni mchaga .
Inategemea katiba yao inasema nini juu ya hilo. Kumbuka mapandikizi wako wengi na hapo ndo wanajua nguvu ya chama imeegema hapo!!! si masihara signatories kuwateua bila kutumia umakini.