Sawa na mada hapo juu napenda kuanzisha kiwanda kidogo cha chaki swala la soko lipo. Mwenye uzoefu na hii inshu anijuze jinsi ya kupata mashine nzuri za kisasa, wapi napata material, vifungashio imara bora na vya kisasa, pia changamoto zake. Pia itanipasa kuwa na nyumba eneo la vyumba vingapi...
Hapa watakukejeli kukudharau nk lakini asilimia tisini walofanikiwa wana siri zao chini ya capeti na wao wanakuwa wa kwanza kudharau hizo mila na hata iweje hapa hutapata jibu ila hayo mambo yapo na kila mtu yanamsaidia kivyake . Ingia porini kivyako na wala usimshirikishe mtu haya mambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.