ha ha ha ha!!! oooooops! unanikumbusha zamani sana mjukuu wangu na kale ka nahau "ya msema kweli?!!" teh teh teh teh !!! hawa wajukuu wamegeuza siasa kuwa hali halisi ya maisha, wanajua ni ngeli zako tu!, mjukuu nwangu, alielala mwamshe mara moja asipoamka tangulia mbele, tah tah tah !!!