natamani mume wangu anywe pombe

nyinyi wajukuu zangu hasa wewe smile si juzi tu mmekuja kwa bibi yenu na ka ugomvi kenu eti mmeo huwa anakuaga anakwenda kwa bishanga atachelewa kurudi sababu usafiri wa huko kwao ni tabu ukajaa sumu eti anachelewaga sana, mjukuu si umeolewa wewe? hebu njoo mama yako mkubwa anakuita akuonye na katabia kako ka kupenda kuolewaolewa, njoo haraka?:lock1::A S 13:
 
Ulevi wa misifa huu. Kama huna cha kupost wandugu si ukae kimya! Kwani kuna ulazima wa kupost thread ambazo hazina kichwa wala miguu?


Samahani, ni mtazamo

tu.
Yan wewe ndio umepost pumba za hatari...yan ***** halafu nahisi kuna nyaya haziko sawa kichwani...
think twice before writing your comments.....
 
nyinyi wajukuu zangu hasa wewe smile si juzi tu mmekuja kwa bibi yenu na ka ugomvi kenu eti mmeo huwa anakuaga anakwenda kwa bishanga atachelewa kurudi sababu usafiri wa huko kwao ni tabu ukajaa sumu eti anachelewaga sana, mjukuu si umeolewa wewe? hebu njoo mama yako mkubwa anakuita akuonye na katabia kako ka kupenda kuolewaolewa, njoo haraka?:lock1::A S 13:
 
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha

(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members
Nilikuwa najiuliza ntapata wapi wife wa kuweza kuimudu tabia zangu hizi kumbe wamo humu mama naomba nikuoe baada ya kwaresma
 
a) natamani mume wangu awe ana drink kidogo asiwe mlevilakini
(b) natamani asirudi home mapema arudi by saa nne usiku hivi ,itakuwa poa ila isiwekatoka kwa nyumba ndogo roho yangu nyepesi mie nitakufa
(c) sipendi mwanaume anayewahi nyumbani kumenya vitunguu swaumu,kukuna nazi nakutwanga tangawizi na kunipigisha maumbea ya mtaa,bora akae mtaani huko na wanaume wenzie apate maujanja yamaisha

(d)asiwe mlokole wa kiviile awe tu mcha mungu ,mlokole anaweza kukuambia nimeoteshwa maono waifu tufunge siku saba pia ninashuhudiwa moyoni nimuoe mwanakwaya fulani
By the way sijui wkend hii nitoke vipi
Ngoja niwasiliane na mchungaji wangu kama kuna sehemuya kutoa huduma ya maombi leo,maana shetani amewafunga watu nataka nikawafungue wawe huru .amina
i love u members

Umempata
 
Smile hajajua kwamba anaweza kuja juta kwa mumewe kuwa mtu wa kinywaji

Badala ya kuomba Mungu ampe mume MCHA MUNGU yeye anatamani wanywaji

Ngoja aendelee kum beep Mungu, Akimpigia ndio atajua alikua anomba kitu cha aina gani
 
Mi nakushanga sana kwa sababu kuna wanawake kama wewe ambao wamechoshwa na tabia za waume zao kurudi usiku wa manane nao walianza kidogokidogo tu....ni vizuri jamaa awe mcha Mungu, aongee na watu ila siyo lazima aipige mitungi ndo awe na maujanja ya kimaisha...ushansoma...
 
Nimesoma Post yako Madam na nime note something like unapenda yale mambo ambayo binadamu wengine (Ordinary People) wamekua wakitamani kuyabadilisha bila mafanikio, Napatwa na wasiwasi mayb baada ya kufanikiwa kupata hayo utaweza kuja tena hapa na kulalama "NATAMAN MWANAUME ANAYEKULA JICHO KILA SIKU NJIA ILE ILE ME INANCHOSHA...TAKE one... aCTION
 
ili nawewe umhudumie msela wako fastafasta au.......ngoma iwe dro......take care....tulia na mmoja
 
Back
Top Bottom