hivi kwanini serekali inawezekana ktk hospital za madhehebu ya dini na kuziacha hospital zake kuwa taabani huku hospital hizo zikiwa ndio nguzo ya Taifa? Ukienda Muhimbili,Amana,temeke na Hospital nyengine nyingi za Wlaya utakuta vitanda vimejaa wagonjwa na wengine kulala chini na huku dawa nyingi zikikoeskana lkn serekali hiyo hiyo imetumia billion moja kuipa Bugando kutoa huduma na huku hospital hiyo ikidhi kupewa misaada na kuicah muhimbili ho hae kinachosikitisha kwamba hizo hospital za madhehebu ya dini zinalipwa hizo fedha zmekuwa KAMA PRIVATE SECTOR Ukiwa huna hela no Matibabu