ila hii blaza umeandika PUMBA kubwa sana..yani ndo kitu cha kuogopa hicho? kwa hiyo hata hao polisi na wanajeshi wakikiuka miiko ya kazi wasiwajibishwe kwa sababu tunaogopa wakija mtaani watakuwa majangili? ujambazi na uwizi ni asili ya mtu na wala haina uhusiano na kuwa na ujuzi wa...
FEGI MBONA KAWAIDA TU MTU KIBAO ZINAVUTA. HAKUNA ALIE PERFECT KILA MTU NA MAPUNGUFU YAKE..KILA ANAEMCHUNGUZA ATAKUTA ANA TATIZO..UNAEZA KIMBIA FEGI UKAKUTA JANGA LINGINE KUBWA ZAIDI..AMSAHURI TU AACHE KUMWACHA SO ISHU..HAKUNA ALIE MSAFI DUNIA HII..KATIKA MAHUSIANO UAMINIFU NDO KITU CHA MSINGI...
inatakiwa uangalie roho yako kwa makini sana ndugu yangu mana inaonekana ngono inaongoza akili yako hadi unatamani uwe jini.. mwombe sana mwenyez mana wazungu wanasema be careful with what u wish for
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.