WirelessBrain
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 980
- 1,351
Ungeanza hivi... " Habari wanajamvi? Nina mpenzi wangu, hivi majuzi nimegundua....."
sivyo mkuu...mke wangu ni mustaarabu kama unavyomuona kwenye avatarUngeanza hivi... " Habari wanajamvi? Nina mpenzi wangu, hivi majuzi nimegundua....."
sivyo mkuu...mke wangu ni mustaarabu kama unavyomuona kwenye avatar
imesadifu huyu dada ametokea maeneo hayo mkuuKwa maeneo ya mbulu ni kawaida sana kuwaona wanawake wakivuta sigara na tumbaku
wengine ni wanaume mkuuOoh man... Congratulations! Ana mdogo wa kike? If u don't mind mkuu
Mkuu umeamua ku justify uvutaji wa sigara kwa nguvu zote. Kila la kheri.haina shida akiwa na mimba apunguze.
haina tofauti na pombe kuna wachina wanakula sigara sana wanazaa vizuri ukiuliza historia wazazi wao na walikuwa chain smoker.
sigara ni kama vitu vingine tunavyotumia sisi ambao sio wavutaji kama pombe unga chewing drugs. vyote ni tatizo. na sio kila mwili sigara inakataa mtu kuna watu wanavuta 40 years wako kawaida tuu
Ndugu mvutaji wa sigara utamgundua aiku ya kwanza tuuu tena ktk swala la mapenz usijue mwambie aache masiharaHali vipi wanajamvi?
Nina mshikaji wangu na ambaye ni mwenzangu kazini majuzi haya amegundua mpenzi wake ana uraibu mkubwa wa sigara kwa taarifa aliyonipa ni kwamba hili ni jipya kwake kwani hajapata kulijua tangu walipoanza mapenzi yao na sasa ana wasiwasi kwani anampenda sana na anatarajia kufunga ndoa naye ila hili la uvutaji sigara limemnyima pozi kabisa, nawaombeni ushauri wenu kwa niaba yake.
Asanteni
FEGI MBONA KAWAIDA TU MTU KIBAO ZINAVUTA. HAKUNA ALIE PERFECT KILA MTU NA MAPUNGUFU YAKE..KILA ANAEMCHUNGUZA ATAKUTA ANA TATIZO..UNAEZA KIMBIA FEGI UKAKUTA JANGA LINGINE KUBWA ZAIDI..AMSAHURI TU AACHE KUMWACHA SO ISHU..HAKUNA ALIE MSAFI DUNIA HII..KATIKA MAHUSIANO UAMINIFU NDO KITU CHA MSINGI VINGINE VINAREKEBISHIKAHali vipi wanajamvi?
Nina mshikaji wangu na ambaye ni mwenzangu kazini majuzi haya amegundua mpenzi wake ana uraibu mkubwa wa sigara kwa taarifa aliyonipa ni kwamba hili ni jipya kwake kwani hajapata kulijua tangu walipoanza mapenzi yao na sasa ana wasiwasi kwani anampenda sana na anatarajia kufunga ndoa naye ila hili la uvutaji sigara limemnyima pozi kabisa, nawaombeni ushauri wenu kwa niaba yake.
Asanteni
pia kwa mwanaume..Si busara mwanamke kuvuta sigara.
kweli mkuu..FEGI MBONA KAWAIDA TU MTU KIBAO ZINAVUTA. HAKUNA ALIE PERFECT KILA MTU NA MAPUNGUFU YAKE..KILA ANAEMCHUNGUZA ATAKUTA ANA TATIZO..UNAEZA KIMBIA FEGI UKAKUTA JANGA LINGINE KUBWA ZAIDI..AMSAHURI TU AACHE KUMWACHA SO ISHU..HAKUNA ALIE MSAFI DUNIA HII..KATIKA MAHUSIANO UAMINIFU NDO KITU CHA MSINGI VINGINE VINAREKEBISHIKA
ila kuna watu wenye ustadi wa kutunza siri mkuu...Uvutaji sigara uliopitiliza hasa kwa wanawake ni hatari kwani hiyo inaweza kupelekea kupata kansa ya kizazi kwa mwanamke (Cervical Cancer), kama risk factor
Nb: Ni vyema mkampatia hii elimu huenda akaona madhara yatokanayo na hiyo tabia. Na katika NDOA hilo suala linaleta changamoto gani
wengine ni wanaume mkuu
ukweli kabisa Wala sidanganyi..ni bahati tu nikampataPoa kaka. We nidanganye.
ukweli kabisa Wala sidanganyi..ni bahati tu nikampata