Recent content by Wandugu Masanja

  1. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Game ya leo haina sababu ya kushinda, ukitizama topic za nyuma utaona nini nilisema, game ya leo inaonesha uhalisia wa tatizo Eze Hana sababu ya kuwa bench, Partey hakuna sababu ya kumuacha aondoke Zubimendi hawezi kucopy work rate ya UK as starter Niliwahi kusema Arteta Hana tactics za ushindi...
  2. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nina wasiwasi na Arteta na ubaguzi wa wachezaji kutoka Africa Yeye na Guadiola wana ubaguzi na wachezaji wa Africa Zubimendi hawezi kuwa replacement ya Partey halafu forward butu sana hakuna shoot na ni uchezaji wa Spain sio UK Kwa sasa hivi Arsenal warudi kwa Mourinho ndio nafasi ya kupata...
  3. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arteta sio coach wa UK
  4. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal kukosa ubingwa inatokana na Thomas Partey Uzembe wa Coach na management ya Arsenal Sioni Arsenal kuchukua ubingwa kwa uchezaji huu
  5. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal kupata ubingwa ni 50/50 Kosa kubwa Lao ni kumuacha Partey kuondoka, Rice hawezi kupanda na kukaa juu, hakuna mlinzi wa kulinda defense Zubimendi bado kuweza kuhimili ugumu wa premier league Kwa team iliyopo amekosekana Partey kukamilisha team Either Arteta au uongozi haupendi...
  6. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Magalhae Gabriel ni liability kwa Arsenal, Against Man City yeye alikuwa ndio sababu ya goli na leo ndio kaguswa kajiangusha, mchezaji mzuri lakini mzembe kwenye kazi
  7. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Arsenal wamekubali kufungwa tayari, 1) huwezi kubadilisha team ya ushindi 2) Madueke alikuwa anazuia watu wawili tayari, Doku yupo free 3) Saliba hakuwa na sababu ya kuanza kwenye game hii Nipo tayari kukosolewa
  8. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Siku hizi sio Mimi mchangiaji kwenye hili jukwaa lakini nitatoa maoni yangu kwa hii timu Kosa la Arsenal ni kumuacha Partey aondoke, hili linaweza kuwakosesha makombe Pili, huwezi kupata rhythm ya mchezo kwa kubadilisha midfielder kwa midfielder Kukosa uoni wa kutafuta striker Umakini wa...
  9. W

    Mimi na Mgahawa wa Chef Pride

    Sh Mohamed Leo tena umenikumbusha miaka mingi iliyopita, Zahir ninaikumbuka lakini haikuwa katika sehemu za matembezi yangu Nategemea sana utaikumbuka Ala-kefak (sijui kama jina nimeliandika sawasawa) iliyokuwa Kariakoo, wakati wa jioni tukienda kula bokoboko Ahsante sana
  10. W

    Kwa Zitto Kunang'ara na Daku Lake la Ramadhani Linang'ara

    Asalam alaykum Sh Mohamed MashaAllah, sina la kuzidisha Ahsante
  11. W

    Buriani Ahmed Rajab

    Salaam Sh Mohamed, Hakika msiba mkubwa umetufika, tupeane pole na kubwa ni kumuombea maghfira na Mwenyeezi Mungu amsamehe makosa yake. Nilipopata taarifa kuwa Sh Ahmed Rajab amefariki basi mwanzo nilitazama kwenye ukurasa wa Jamii Forum kama hii taarifa ya Kweli, sikuona taarifa nikatia shaka...
  12. W

    Ulisikia muziki huu kwa mara ya kwanza Ukiwa wapi?

    Nafikiri mtunzi na muimbaji wa mwanzo Cat Steven
  13. W

    Ulisikia muziki huu kwa mara ya kwanza Ukiwa wapi?

    Niliuisikia kwa Mara ya kwanza kwenye 70s Umenikumbusha mbali sana Shukurani kwa kumbukumbu
  14. W

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Njia nyepesi ya kuifanya Arsenal kupiga hatua ni mashabiki kugoma kwenda uwanjani Hii itawafanya kubadili muelekeo vyenginevyo itakuwa habari ya kujirudia kila mwaka
Back
Top Bottom