Kwani nani kasema kuwa is given CCM kushinda come 2015? mmesahau jinsi CDM wanavyokuja juu...je wagombea wengine CCM nao vipi? Hakuna guarantee kuwa Membe ndio chaguo la CCM kuna kina Sumaye, Tibaijuka, Sitta, Nahodha, Bilal, Magufuli na bila kusahau Lowassa wote hao wanaweza kugombea na...