kelvito
JF-Expert Member
- May 30, 2012
- 386
- 100
Raisi wa ahadi mwongo na mnafiki
pesa ya rushwa anaiita change
atawalipua wabaya wake huyu ni mwongo na mnafiki kama mwanaume kweli awataje
eeti hawakubali wanaompindua gadaf kwa pick up sijui alitaka watumie hammar
kila aongealo eeti anaoteshwa sijui na nani
hana tofauti na jk kwa kila kitu
membe ukiwa raisi na mimi ntahama nchi hii nikaish malawi!
yatakuwa makosa makubwa sana kwa cc magamba!
pesa ya rushwa anaiita change
atawalipua wabaya wake huyu ni mwongo na mnafiki kama mwanaume kweli awataje
eeti hawakubali wanaompindua gadaf kwa pick up sijui alitaka watumie hammar
kila aongealo eeti anaoteshwa sijui na nani
hana tofauti na jk kwa kila kitu
membe ukiwa raisi na mimi ntahama nchi hii nikaish malawi!
yatakuwa makosa makubwa sana kwa cc magamba!