Kenya Monopolizing East Africa

Ndugu yangu nilikuwa gizani enzi za ujima na baba wetu wa taifa, wakati haturuhusiwi kuona nchi za wenzetu zilizoendelea zikoje na kabla shule haijapanda. Hivi sasa nimetembea na kuona kwa wenzetu na kugundua kuwa sisi ndio tulikuwa gizani. Ownership sio tatizo, mradi watu walipe kodi na kushindana fairly...kwa taarifa yako wakati wa Mwinyi kabla ya PSRC, Ma SU mengi yalikuwa yakitegemea ruzuku ya serikali kusurvive, sasa swala kuu ni kuwa je ni kazi ya serikali kubeba mashirika au kuongeza juhudi na tija kwenye huduma za jamii?

Nafikiri wengi tutakubaliana kwanza kuwa jukumu kuu la serikali ni kuhakikisha kuwa watu wake wanaishi kwa amani(ulinzi na usalama), kuendeleza miundo mbinu (barabara, umeme, maji n.k.), elimu na afya kwa raia wake na kukusanya kodi kwa uhakika. Sasa enzi za Mwalimu serikali ilikuwa bize kuyainua haya ma SU huku ufanisi ukiwa hoi, ukusanyaji kodi ilikuwa ni kichekesho . Pamoja na matatizo yote mi na imani tuko kwenye right track hivi sasa angalau shule na vyuo vimeongezeka, barabara zinajengwa na uchumi unakua. GDP ya TZ between 1961 na 1985 Nyerere alipotoka hardly change angalia sasa tulipo. Mafisadi ndio tatizo sasa na hili ni jukumu letu wote watanzania kulipa vita kama tunavofanya hapa JF.

Ili kuiendeleza nchi yetu ni muhimu tushirikishe wageni regardless kama ni wakenya (albeit foreign own) haijalishi hiyo, mradi hawa wanalipa kodi na kutupa ajira watanzania ndio kitu cha muhimu. Na uchumi wetu unakua, watoto wetu wanaenda shule, barabara zetu zinajengwa na hospitali. Hivi ndio vitu vya kuboresha sio longolongo kuhusu nania anamiliki makampuni ya Kenya na bla bla nyingine ambazo hazina tija...

Haya ni mawazo yangu, Nawakilisha


WaMzizima:

Hivi kuna mkuu anakataa vitegauchumi kutoka nje? Hata shareholding zao hazituhusu pia. Mmachinga kama Smatta anataka kudanganya kuwa hisa za makampuni yote ya wakenya ni za Wakenya yaani wakikuyu, wapokot na wajaluo..hii si kweli na hata ikiwa it's none of our business, ila aache uongo na arrogance. Ikitokea kampuni ikawa ya mkenya ni wale wanasiasa kina Biwot ambao waliwaibia wakenya wenzao, sasa unadhani ni wakenya wangapi wameathirika na wizi huo, ambao mpaka ni maskini choka mbaya. Unemployment rate ya Kenya iko at 40%, hivi hao kweli ni watu wa kujifunza kwao!?
Ukimwambia aende TIC huyo hawezi, ni kuuza bidhaa feki tu. Iwapo sheria za nchi zinafuatwa, yaani ajira kwa mgeni mwiko hasa kwa zile kazi zinazoweza kufanywa na mtanzania, mbona sioni tatizo! Kina Smatta wanachotaka ni free movt of labor, free land kwa wakulima wa jembe (kukimbia ukame), na kutembea na vipande vyao Tanzania..kitu a ambacho wameula wa chuya! I am for free movt of capital myself ili mradi walipe kodi na wasilete vinarua wao kuganga njaa!
 
sawa basi tumekusikia, swali langu ni wewe binafsi unachangia nini Tanzania isipokuwa kuketi vijiweni na kufyata mdomo? Nina uhakika nachangia pakubwa nchini mwako kukuliko wewe Geza Ulole Mzawa wa Tanzania, hiyo blind patriotism ndio itachangia pakubwa kwa maangamizi yenyu kama nchi, watch this space. Frustration zenyu zisiwafanye kuwa na chuki dhidi ya jirani, haisaidii hata kidogo mkipiga kelele na vifua, ni kama mwaweza fanya chochote dhidi ya majirani zenyu wakati tunajua hamna lolote ila uswahili na majigambo. Tanzania ni nchi tajiri sana, lakini ikiwa kwa mikono ya Watanzania mtazidi kuwa maskini hadi kiama, thats a fact, you are so rigid, lazy and conservative ndio maana wazungu wananyonya migodi yenyu mkibakizwa maskini wakutupa kisha mwalaumu wakenya waliokuja kuchukua mabaki yaliowachwa na wazungu. Mtabaki mkipiga kelele aisee, sisi tunapepea na tutawaacha nyuma, we are so ambitious.

Mimi nipo humu ndani ya Forum kuwaondoa woga Watanzania wenzangu kuwa ati hawawezi Tanzania can do better without Kenyans! Mark my words! Kenyans all they know is to brag ati wako aggresive ati wako that and this while Kibaki buddies (Kikuyus) are bankcrupting that country, what do you get in turn? kama ungekuwa that smart as a country the way you claim usingekuwa na Goldenberg scandal with Pattini and the co swindling all the money or your Kwale titanium deposit wouldn't be benefiting the few! Uache mudomo mingi for people who know Kenyans like me hamnisumbui nawajua in and out! you are always good at bragging ati you are better than this and that! that's the only thing you know
 
WaTZ tuamke. Kusaidia hawa omba omba wa Kinyarwanda naona imekuwa tabu. Hata kama nataka kujifunza, siwezi jifunza kwa Nyang'au..watu wasiokuwa na kichwa wala miguu. Wanaokuja kuzengea kazi za watanzania na kuiba tu. Hizo Multinationals zilizoko Kenya siyo za Wakenya, hiyo haihitaji hata kusoma kulijua hilo. But fakini foreigners wakenya mnajichimbia kaburi, sawa endeleeni na ujinga wenu ila itakula kwenu. Na haya Manyarwanda dawa yao inachemka! Kamkaribishe Kigali kwenu kwa wauaji wenzako..siyo Tanzania! Hakuna anayekataa vitegauchumi, vije tu..ila wasije na vibarua kutoka Kenya. Wamachinga kama kina Smatta, kuna njia za kuwashughulikia, watakimbia wenyewe. Huyu mgonjwa wa akili Koba anahitaji msaada. Ni kwamba, EABL, KQ, Unilever or whatever ni hela za wazungu/wawekezaji and they have nothing to do kenyans. If anything, zikija Tanzania, zinaweza kuleta ajira kwa watanzania kama abavyo zinawasaidia wakenya....hizi kampuni siyo innovation ya wakenya ambao ni choka mbaya kama walivyo!

...mikelele tuu ya debe tupu,FYI EA ipo tayari na capital & labour movement are moving as we speak (legally) na hakuna kitu utafanya umebaki bashing kwa wakenya tuu na kuwaita wengine wauaji,acha kusingizia wamachinga kwa matatizo yako hao wamejaa kila kona ya dunia from NY to Beijing wanatafuta maisha tuu,then your sorry ass unafikiri you will convince other ****** like you kuwakimbiza Wakenya mtaani kwa sababu wanachukua kazi zenu(in your fantasy World) go ahead with your stupidity maana jela bado zina nafasi ya watu kama wewe,seems you re poor,bitter,loser & uneducated la sivyo usingekuwa na hiyo animosity towards other people
 
...mikelele tuu ya debe tupu,FYI EA ipo tayari na capital & labour movement are moving as we speak (legally) na hakuna kitu utafanya umebaki bashing kwa wakenya tuu na kuwaita wengine wauaji,acha kusingizia wamachinga kwa matatizo yako hao wamejaa kila kona ya dunia from NY to Beijing wanatafuta maisha tuu,then your sorry ass unafikiri you will convince other ****** like you kuwakimbiza Wakenya mtaani kwa sababu wanachukua kazi zenu(in your fantasy World) go ahead with your stupidity maana jela bado zina nafasi ya watu kama wewe,seems you re poor,bitter,loser & uneducated la sivyo usingekuwa na hiyo animosity towards other people

Huwa tunawaita watu kama hao internet soldiers, calling the shots from behind their monitors while in real life they are sissy's.
 
Bro Kanyabwoya, huyo Koba muache alivyo, maana tangu ahamie California kabadilika kabisa hata usabato kaacha.
Na anawashabikia wakenya kwa sababu ni ndugu zake wanapkana huko mkoa Mara.

Halafu sio mtu wa kawaida, maana tangu nizaliwe sijawahi ona mswahili akitetea ushoga (ufiraji) kama huyu Koba alivyo.

Kumbe Marekani si kwa kupeleka watoto. Namfahamu sana Koba nimesoma nae ila yeye aliacha shule katikati na kukimbilia marekani.
 
Wakimbizi wana shida sana, I mean very lucky to have my dignity maana kama huna nchi unakuwa huna dignity unawewesekaweseka tu. Poleni sana midhali tunawafahamu hivi sasa huruma yetu kwishnei.
 
So what? wakijaza then what? china products, india products, SA product? this free market?
 
Bro Kanyabwoya, huyo Koba muache alivyo, maana tangu ahamie California kabadilika kabisa hata usabato kaacha.
Na anawashabikia wakenya kwa sababu ni ndugu zake wanapkana huko mkoa Mara.

Halafu sio mtu wa kawaida, maana tangu nizaliwe sijawahi ona mswahili akitetea ushoga (ufiraji) kama huyu Koba alivyo.

Kumbe Marekani si kwa kupeleka watoto. Namfahamu sana Koba nimesoma nae ila yeye aliacha shule katikati na kukimbilia marekani.

...you must be outta you're fu-ckin-g mind!
 
i quote "I am told that these Kenyan's have no big interest in Burundi!! Why? They also talk of un-lucrative Tanzanian Market which its systems are not open business friendly" you say kenyan banks are strugling i will have you know that their target market is not the common Tanzanian who just needs an ATM machine to withdraw his salary but NGOs, multi national companys, shools and the likes ie those who handle the big bucks so, dont think that since theres no ques then they are strugling! yes theres alot of south african products but i would like to inform you that kenya is tanzania's second biggest investor after south africa. whats worst is that even though some goods are made in and proudly written made in tanzania doesnt mean the owners are tanzanians they could as well be kenyans. iliniuma sana nilivyo gundua kwamba kenya airways has 49% stake in precision airways we are so proud of and the main competitor fly 540 is fully kenyan in collaboration with some UK investors!
 
Acheni uongo, it is south african's products which have flooded East African market. In Tanzania , banks from Kenya are really struggling.

i quote "I am told that these Kenyan's have no big interest in Burundi!! Why? They also talk of un-lucrative Tanzanian Market which its systems are not open business friendly" you say kenyan banks are strugling i will have you know that their target market is not the common Tanzanian who just needs an ATM machine to withdraw his salary but NGOs, multi national companys, shools and the likes ie those who handle the big bucks so, dont think that since theres no ques then they are strugling! yes theres alot of south african products but i would like to inform you that kenya is tanzania's second biggest investor after south africa. whats worst is that even though some goods are made in and proudly written made in tanzania doesnt mean the owners are tanzanians they could as well be kenyans. iliniuma sana nilivyo gundua kwamba kenya airways has 49% stake in precision airways we are so proud of and the main competitor fly 540 is fully kenyan in collaboration with some UK investors!
 
The person who has posted this is lazy at thinking! EA economy is being monopolized by SA products, Kenya is just struggling like the rest of EA! how many Kenyans co. have been acquired by SA companies? you better ask urself n stop living on propaganda from wines to beer to shoes, to fast foods to clothes all r SA! n for ur info even in Uganda SAB Miller is now the leader on beer business i dont know where do you get ur facts even the EA Brew is over 70 % owned by Diageo plc so till today Kenya cant even produce own beer! Forget about that mere propaganda even TZ has managed to do that through Serengeti Brew! i laugh when you compare NTV and Citizen tv and the rest of the media! do you know who owns those media what shares belong to Kenyans? all those companies are Kenya incorporated companies and they would be smart enough if they would be chesting themselves on own companies as Kenyans!

i will give you an example of safaricom which is africas 9th biggest telecom company in africa with only 12 million subscribers and revenues of 1.4 billion dollars (tsh. 1,950,000,000,000) for year 2011. which is not bad for a 60% owned by gvt of kenya
Top Ten largest telecoms companies in Africa
compared to m.t.n who tops the list with 176 million subscribers and egypts and nigeria with 48 million subscribers.
do i need to talk about kenya airways? Topling ethiopian airlines to be AFRICA'S third finest airline after southafrica and egypt airlines the gvt of kenya is the single biggest stake holder at 30% followed by KlM 22%.
labda siko well informed... si tuna nini, wapi?
 
Bro Geza Ulole (whenever I see your name, it reminds that song of long long time ago- jokes). These guys wont understand you. coz you explained a lot on the structure of kny coys. Still they are embracing a wishful thinking.

But for those who are smart enough to understand the rule of the game, this is not the kenya vaquish. But is the foreigners strategy to use kenya as a tentacled object. They use kny as their agent to exploit the region. Kenya suits this (a very usefull trait for neo-colonialism) becoz the teritorry has never been there for the well being of its people, but for whites (foreigners) and few africans of Moi and Kenyata type. For them (Knyns), the term patriotic to the nation is a vocabulary, is not in their dictionary and is out of their social contract.

You will see, most of the foreign companies will base in Nairobi and operating in the entire region. Although that is not bad, but we need to be careful and watch these companies closer, so as to make sure that win win situation prevail and not win lose.

how about some enlightment instead of persimist talk, cz all i see is this country developing way beyond our league right under our nose!!
 
nathani na wewe upo gizani hujui unachoongea hayo makampuni yoote unayoongea si wakenya waliyafikisha hapo! so there is nothing Kenyans can be proud about as their success! KA (over 60% foreign owned) was bought by KLM restructured managed by KLM guys till where its is! EABL is whooping 80% controlled by Diageo so every decision made on EABL and KBL is by London Diageo Plc! Safaricom is owned by Vodafone and todate is owned by a briton and most important decisions done by britons! so these useless guys here coming bragging they are good at this or that is simply blah blah there is nothing a Kenyan can brag! get that! NMG, DTB is over 70% controlled by Aga Khan and its allies! KCB Bank is over 50% foreign owned! So they should feel ashamed of making noises at SA runs this and that in Tanzania! simply cause we know Kenyans are simply arrogant and proud for nothing and they can not do anything since they have no history in performing! so far no Kenyan has managed even to have a media empire compared that of IPPMedia or having a simple brewery! the only thing i can tell these bragging guys here is go home and sleep! The only thing they know is the likes of Kirubis stealing billions of Kenyans money (Uchumi collapsing case) since he is a Kikuyu, so are the TransCentury group & Centum group! all the inner circle Kikuyu buddies of Kibaki

i wish we would get our facts straight before running our mouths, cz it makes us look desperate. i too hate how kenyans brag but i wount deny facts that we cant play their league anymore!
just would like to ppoint afew points there for you Top Ten largest telecoms companies in Africa will tell you that the government and people of kenya calls the shots on africas 9th biggest telecomunication company which had a turnover of tsh 2,100,000,000,000 for 2011!. with a 60% stake thats alot of money, so whoever told you britons run the show, cant happen! vodafone came into the picture in 1997 when safaricom was one of the fastest growing mobile operators in africa and was 100% owned by the gvt of kenya at that time.
the gvt of kenya today still remains the single biggest stake holder and manager in KQ with 29.8%. followed by KLM at 26% shares. so bra KLM can never call the shots with only 26% shares
Definately east and central africa's biggest chain stores, nakumatt with assets to the tune of Tsh 1 trillion has branches in moshi tz, kigali rwanda, kampala uganda and south sudan is 100% owned by kenyan family Atul Shah family and hotnet limited Nakumatt - Wikipedia, the free encyclopedia those are some of the prosperous businesses they can brag and we cant!
 
i wish we would get our facts straight before running our mouths, cz it makes us look desperate. i too hate how kenyans brag but i wount deny facts that we cant play their league anymore!
just would like to ppoint afew points there for you Top Ten largest telecoms companies in Africa will tell you that the government and people of kenya calls the shots on africas 9th biggest telecomunication company which had a turnover of tsh 2,100,000,000,000 for 2011!. with a 60% stake thats alot of money, so whoever told you britons run the show, cant happen! vodafone came into the picture in 1997 when safaricom was one of the fastest growing mobile operators in africa and was 100% owned by the gvt of kenya at that time.
the gvt of kenya today still remains the single biggest stake holder and manager in KQ with 29.8%. followed by KLM at 26% shares. so bra KLM can never call the shots with only 26% shares
Definately east and central africa's biggest chain stores, nakumatt with assets to the tune of Tsh 1 trillion has branches in moshi tz, kigali rwanda, kampala uganda and south sudan is 100% owned by kenyan family Atul Shah family and hotnet limited Nakumatt - Wikipedia, the free encyclopedia those are some of the prosperous businesses they can brag and we cant!

what i see.... those are just isolated incidences.... lot of coys still under whites and few blacks.... that is a fact... for more.... check with geza... will lift the veil and watch....
 
Hapa naona tunaendekeza sana nationalism wether ni wa Kenya au Tz, kwangu mimi naona ownership not an issue hata US, UK au mfano mzuri in modern times in China foreign co. ndizo zinaongoza kwa kutoa employment especially China...serikali yao ilitambua kuwa wao hawana uwezo (kama sisi) kutoa ajira kwa watu wao wote na SU zao zilikuwa na bado zipo inefficient kulinganisha na makampuni ya nje.
Solution tukaribishe makampuni ya nje yalete ajira kwa vijana wetu na kuhakikisha yanalipa kodi ambayo ni fare kwa wote, that all I care sijali nani anamiliki nini as long as watu wetu wana ajira na uchumi wetu unakua badala ya longolongo ndefu, after all experience yetu ya kuendesha makampuni yetu ya SU is pathetic if it is anything to go by...
 
SO what?? we own 1% they own 99% , why havent you stopped and ask your selves why these companies didnt invest in Tanzania?? why??? seems you have not been doing your homework on us jus,t yip yappin' with no facts at hand. just watch this pace, we're takin' over for sure!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom