Opaque
JF-Expert Member
- Oct 24, 2008
- 1,359
- 719
Yeah, hata Lukuvi alitamka hivyo bungeni. I prefer a single country, single govt.... Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba ...
Yeah, hata Lukuvi alitamka hivyo bungeni. I prefer a single country, single govt.... Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba ...
Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano. Ninawasihi watu wa bara kudai "Serikali moja, taifa moja, na nchi moja". Haya mambo ya serikali mbili nchi mbili au serikali tatu nchi mbili hayaingii kichwani na ni jitihada za kujaribu kuibeba Zanzibar. Wakati umefika tudai uwepo wa serikali moja tu ya kitafa kwenye nchi moja.
Ninafahamu kabisa matokeo ya watu wa bara kutaka hili. Jambo pekee ambalo tusikubali kuuziwa (CCM na upiinzani wanataka hili) ni serikali tatu. Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba na wala hatupaswi kuubeba. Nawasihi wenzangu tukate kuongezewa mizigo. Tuwe na serikali moja, taifa moja na nchi moja. Sasa kama hili lina maana Zanzibar iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" na bara iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" basi na iwe.
Tuwasaidie Zanzibar watoke kwenye Muungano kama hawataki serikali moja kwani mbili hawataki na tatu tutajipa mzigo zaidi!
SAY NO TO SERIKALI TATU!!
Iambie tume ya Warioba - hatutaki serikali tatu!!
muhimu ni ushirikiano utakao tuwezeshe kuishi kwa amani.Hakuna suluhisho zaidi ya kuvunja muungano.
Tusikubali kwenda serikali tatu. Kwa vile tumekatazwa kutaka kuvunja Muungano - japo waliotukataza hawana uwezo huo - na kwamba tunaweza kujadili "muundo" bora wa Muungano. Ninawasihi watu wa bara kudai "Serikali moja, taifa moja, na nchi moja". Haya mambo ya serikali mbili nchi mbili au serikali tatu nchi mbili hayaingii kichwani na ni jitihada za kujaribu kuibeba Zanzibar. Wakati umefika tudai uwepo wa serikali moja tu ya kitaifa kwenye nchi moja.
Ninafahamu kabisa matokeo ya watu wa bara kutaka hili. Jambo pekee ambalo tusikubali kuuziwa (CCM na upiinzani wanataka hili) ni serikali tatu. Serikali tatu ni mzigo ambao hatuwezi kuubeba na wala hatupaswi kuubeba. Nawasihi wenzangu ...... Tuwe na serikali moja, taifa moja na nchi moja. Sasa kama hili lina maana Zanzibar iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" na bara iwe "serikali moja, taifa moja na nchi moja" basi na iwe.
Tuwasaidie Zanzibar watoke kwenye Muungano kama hawataki serikali moja kwani mbili hawataki na tatu tutajipa mzigo zaidi!
Iambie tume ya Warioba - hatutaki serikali tatu!!
Mwanakijiji,
..mimi nataka serikali moja, serikali ya Tanganyika.
Sisi sio wa bara; ni WATANGANYIKA!
Yeah, hata Lukuvi alitamka hivyo bungeni. I prefer a single country, single govt
Hatutaki serikali Tanganyika ni mzigo kwa Tanganyika.
Serikali moja, na ni sisi watanganyika ndiyo tunavyotaka.
Tukishawasaidia Zanzibar kutoka katika Muungano, tutabaki na serikali ipi?Hatutaki serikali Tanganyika ni mzigo kwa Tanganyika.
Nineshangaa kama hata wewe ungaliweza kuona mantiki ya hoja hii...Kuona kunahitaji macho.....sioni mantikia ya hoja hii. Wabara karibu watapigana vita vya wenyewe kwa wenyewe. Washaanza chadema vs ccm.zanzibar hali shwari tusitake kuwaingiza zanzibar matatizo
MKJJ nnapenda nikupe angalizo juu ya suali lako la kuwa na serikali moja ya Muungano
wazanzibari wa leo wameamka sana tena sana, wao wanachodai muungano wa haki na wanataka ifahamike wazi kuwa zanzibar ni nchi sawa na nchi nyengine. kwa hio wanapoungana nchi mbili zinaungana zikiwa nchi mbili zenye mamlaka sawa.
kwa maana hio tukiunda serikali moja lazima tusimame kwenye usawa huo, idadi ya mawaziri iwe sawa, watendaji wa serikali hio pia tuwe sawa. kitu ambacho naaamini watanganyika watakimbia na hawatakubali. na kwa vile miaka 50 makao makuu ya serikali yalikuwa tanganyika sasa makao makuu ya serikali yawe zanzibar.
kwa kweli wazanzibari kwa njia moja au nyengine safari hii wamejipanga kuhakikisha haki yao haipotei. na nnakuhakikishia wataouvunja muungano safari hii ni watanganyika na si wazanzibari na utanambia