Recent content by Wamizigo

  1. Wamizigo

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba mnisaidie katika hili Nimelipia Gharama za kuunganishiwa umeme kwa Gharama ya Tsh 377.772,toka mwezi wa 8 mwaka huu, kila nikifuatilia naambiwa nguzo hazipo, juzi nimekwenda nimeambiwa nguzo zimefika ila mita ndo tatizo, sasa hadi inakera kufuatilia kila siku halafu ni taasisi (nyumba ya...
  2. Wamizigo

    Msaada wa kisheria: Nilikuwa nagombana na mtumishi mwenzangu yeye ajahamishwa kituo ila mimi nimepelekwa kijijini

    Wote tuliomba shule zingine tofauti na pale tulipokwepo ndo tulivyoambiwa
  3. Wamizigo

    Msaada wa kisheria: Nilikuwa nagombana na mtumishi mwenzangu yeye ajahamishwa kituo ila mimi nimepelekwa kijijini

    Habari wana jf?, Mimi ni mtumishi (mshika chaki) kuna mtumishi mwenzangu tumezinguana nae kutokana na tabia zake za ajabu, hasa za kunisema vibaya mbele za wanafunzi, huku yeye akijikweza. Kutokana na kuzinguana huko, taarifa zilifika kwa afisa elimu, na afisa akadai kuwa tuandike barua za...
  4. Wamizigo

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Saiv pamependeza kiasi flani, barabara za mitaa kuna lami
  5. Wamizigo

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Ipole primary school - sikonge Tabora
  6. Wamizigo

    Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

    Ipole primary school
  7. Wamizigo

    Karibuni Tabora asali inakotokea

    Ipole getini pale pale
  8. Wamizigo

    Karibuni Tabora asali inakotokea

    Daaah, Mi mnyamwez wa Ipole
  9. Wamizigo

    Msaada: Documents zangu kwenye Flash hazifunguki

    Hao ni virus watakuwa wametafuna hizo documents
  10. Wamizigo

    Mheshimiwa punguza kubana, umebana hadi miembe haijazaa mwaka huu

    Mi hata kumpa mimba mke wangu imeshindikana since 2015, nmejaribu lakin nmeambulia patupu, lakin before 2015,ilikuwa kugusa tu kitu,hatar sana labda 2025
Back
Top Bottom