Naomba mnisaidie katika hili
Nimelipia Gharama za kuunganishiwa umeme kwa Gharama ya Tsh 377.772,toka mwezi wa 8 mwaka huu, kila nikifuatilia naambiwa nguzo hazipo, juzi nimekwenda nimeambiwa nguzo zimefika ila mita ndo tatizo, sasa hadi inakera kufuatilia kila siku halafu ni taasisi (nyumba ya...
Habari wana jf?,
Mimi ni mtumishi (mshika chaki) kuna mtumishi mwenzangu tumezinguana nae kutokana na tabia zake za ajabu, hasa za kunisema vibaya mbele za wanafunzi, huku yeye akijikweza.
Kutokana na kuzinguana huko, taarifa zilifika kwa afisa elimu, na afisa akadai kuwa tuandike barua za...
Mi hata kumpa mimba mke wangu imeshindikana since 2015, nmejaribu lakin nmeambulia patupu, lakin before 2015,ilikuwa kugusa tu kitu,hatar sana labda 2025
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.